Mimi siyo Nyumbu, sijashikiwa akili na Binadamu yoyote yule, ninatoa maoni yangu kwa uhuru na jinsi nionavyo inafaa, na siyo kama chadema wote mmeshikiwa akili na Mbowe, akisema kushoto mnafwata, akisema kulia mnafwata, adui yake ni adui yenu, rafiki yake ni rafiki yenu, mimi siko hivyo nina maisha yangu na natetea ninachokiamini!
Mbowe anamchukia Mkuu wa Mkoa wa Dar wote na nyie mnamchukia, Mbowe anamchukia J.Muro wote na nyie takataka mnamchukia J.Muro pia, Mbowe anamchukia Raila Odinga wote na nyie Raila Odinga kageuka adui yenu, huo ni utumwa!