Makinikia: Nilisema..Na ninasema!

Makinikia: Nilisema..Na ninasema!

Hebu justify kuachana na Trilion 425, ambayo ni bajeti ya nchi kwa miaka 14 bila msaada wa senti za wahisani!. Ningekuona una hoja ya msingi ungesema tuwapeleke ACACIA mahakamani kwa wizi wote wa madini walioufanya sababu ushahidi wa kisayansi tunao!!
Hoja yako ya mahakamani ifungulie Uzi wako..usifosi mfanane kifikra na mtoa mada!
 
Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!

Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
Akili zimeanza kukurudia msukule wa Lumumba vipi mwenyekit wenu anaposema nchi yenu ni tajiri sana na tutaanza kuwakopesha wazungu
 
Bandiko lako ni jema sana, je umejiuliza kama wako tayari kuacha kupeleka miswada ya kihuni na kupitishwa kihuni bungeni? Ni wakati wa wabunge wetu hususan waliowengi aka wabunge wa CCM kuanzia sasa kusema hapana kwenye kupitisha miswada inayooigharimu Taifa kihunikihuni tu kupendeza Watawala.

Wajitathmini kama kweli wanayohaki ya kuitwa wahehimiwa wakati wanapitisha mambo kihuni kihuni bila hata kulionea huruma Taifa.Ni bora ukose ubunge lakini upate la kujisifia kwamba ulipoteza ubunge sababu ulikuwa unalipigania Taifa.
 
Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!

Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
Naona unapiga u turn kwa mbali baada ya kutoka kudai Noah mpaka balimi ndogo 6!
 
Naona unapiga u turn kwa mbali baada ya kutoka kudai Noah mpaka balimi ndogo 6!


Mimi siyo Nyumbu, sijashikiwa akili na Binadamu yoyote yule, ninatoa maoni yangu kwa uhuru na jinsi nionavyo inafaa, na siyo kama chadema wote mmeshikiwa akili na Mbowe, akisema kushoto mnafwata, akisema kulia mnafwata, adui yake ni adui yenu, rafiki yake ni rafiki yenu, mimi siko hivyo nina maisha yangu na natetea ninachokiamini!

Mbowe anamchukia Mkuu wa Mkoa wa Dar wote na nyie mnamchukia, Mbowe anamchukia J.Muro wote na nyie takataka mnamchukia J.Muro pia, Mbowe anamchukia Raila Odinga wote na nyie Raila Odinga kageuka adui yenu, halafu Mwanaume mzima unakwenda nyumbani eti na unaitwa Baba, Baba unashikiwa akili na Mwanaume mwenzio, shiiit!
 
Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!

Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!

Aliye kuambia Matajiri kuliko wote nani!

Utajiri wa nchi ni Rasilimali zake
Tunathubutu kusema tena kwa kifua mbele Sisi matajiri
Babeli, Malumumba buku 7 yanaparurana yenyewe.
 
Tuachane na hawa acasia ama wawe minority shareholder,tuchimbe sisi wenyewe,actually prezo yuko right,
tatizo approach bado iko inasumbua
 
Babeli, Malumbuka buku 7 yanaparurana yenyewe.


Ndiyo shida ya kushikiwa akili na Binadamu mwenzako, kwa kuwa wewe Mbowe kashika akili zako, kukuamulia na kukuchagulia rafiki na adui unafikiri kila mtu yuko hivyo? Uko hapa kuwagawa watu na kuwachagulia upande, unafikiri kila mtu ni Nyumbu kama wewe?

Mimi niko peke yangu kwanza kwa taarifa yako sina Chama na hata kura sijawahi kupiga tangu nizaliwe na sitokuja kupiga lkn namkubali Raisi wangu na niko tayari kumpigania!
 
Mara hii mmeanza kumpingana na rais ambaye kila siku anasema Tanzania ni tajiri.


Mimi siyo Nyumbu kama wewe na wala sijashikiwa akili na Binadamu kama wewe ulivyoshikiwa na Mbowe, nina msimamo na maoni yangu kulingana na uelewa wangu wa mambo!
 
Huu ndio ushauri wa maana unaolisaidia Taifa
sio wale Vibendera na lichama lao la Vibendera kutwa kuomba mabaya tu kwa taifa!

Ndio maana ikaletwa sheria na Wazungu kupata kiwewe kikubwa kwenya majadiliano.

Tuzidi kumuunga mkono mh Rais wetu
huyu ana nia njema kwa Taifa
Yaani wanaume na akili zetu,tumuunge mkona uyu ropo ropo wa kuropoka??? Be serious mkuu
 
Mimi siyo Nyumbu kama wewe na wala sijashikiwa akili na Binadamu kama wewe ulivyoshikiwa na Mbowe, nina msimamo na maoni yangu kulingana na uelewa wangu wa mambo!
Unafikiri mimi ni MbwaKoko wa Lumumba kama wewe unayeshikiwa akili na Chakubanga.
 
Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!

Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
Maneno Kama haya mwambie mtakatifu...
 
Tatizo upinzani inaongozwa na akili finyu wakina mange na sepenga na lissu bush lawyer
 
Huu ndio ushauri wa maana unaolisaidia Taifa
sio wale Vibendera na lichama lao la Vibendera kutwa kuomba mabaya tu kwa taifa!

Ndio maana ikaletwa sheria na Wazungu kupata kiwewe kikubwa kwenya majadiliano.

Tuzidi kumuunga mkono mh Rais wetu
huyu ana nia njema kwa Taifa
Mmefirisi nchi na mikataba ya usiku mnatuletea maigizo ya uzalendo? Hamna lolote wezi wakubwa nyie. Hata mbadilishe rangi ya nguo tunawafahamu kwa umbo na sura. Mkitajiwa ufisadi wenu mnabadilisha matumizi mnasema hiki ni cha Jeshi msikijadili? Badilisheni na nyumba za serikali mlizogawia hawala zenu ziwe kambi za Jeshi tusiseme tena.
 
Mimi siyo Nyumbu, sijashikiwa akili na Binadamu yoyote yule, ninatoa maoni yangu kwa uhuru na jinsi nionavyo inafaa, na siyo kama chadema wote mmeshikiwa akili na Mbowe, akisema kushoto mnafwata, akisema kulia mnafwata, adui yake ni adui yenu, rafiki yake ni rafiki yenu, mimi siko hivyo nina maisha yangu na natetea ninachokiamini!

Mbowe anamchukia Mkuu wa Mkoa wa Dar wote na nyie mnamchukia, Mbowe anamchukia J.Muro wote na nyie takataka mnamchukia J.Muro pia, Mbowe anamchukia Raila Odinga wote na nyie Raila Odinga kageuka adui yenu, huo ni utumwa!
Unapoanza kuwaita binadamu takataka unakuwa mpumbavu Wa kiwango kikubwa, we demu tu kama demu Wa danguro acha upuuzi Wa kikahaba Wa kuona wote wanafanana na unaiwavulia nguo mchana na usiku.
 
Back
Top Bottom