Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Leo kwenye taarifa ya habari nimemuona Speaker Makinda akisema kuwa kuna wanasiasa wanawadanganya wananchi,
lakini wanasiasa hao wajue kuwa jinsi siku zinavyokwenda uongo wao unagundulika na wataumbuka. Binafsi nakubaliana na Mheshimiwa Speaker na kuwasihi viongozi kuwa wakweli na waadilifu kwa wananchi.
lakini wanasiasa hao wajue kuwa jinsi siku zinavyokwenda uongo wao unagundulika na wataumbuka. Binafsi nakubaliana na Mheshimiwa Speaker na kuwasihi viongozi kuwa wakweli na waadilifu kwa wananchi.