Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
↲PaNziVita vya pasi furaha .......
↲PaNziVita vya pasi furaha .......
Wanajifunza kutokana na makosa.
Tunaamini kuwa kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa ni kosa.
Hongera mama.
Mama Makinda Bravooo.....,
ndiyo mwanzo nadhani ameona sasa kama kuwabeba basi tena...., kawabeba sanaa toka Dec 2010!
inabidi na wao wenyewe ifike muda wajibebe...
mama kaza buti usiwachekee hao!
hawana hiyana hata kidogo ni lazima wawatumikie wananchi ipasavyo!
ukiendelea hivyo kw muda wote uliyobaki, tutakuombea kwa wananchi wafikirie kukusamehe kwa kosa la upendeleo kw CCM uliokuwa nao b4!