Makete: CHADEMA vitongoji 46 na CCM 1

Makete: CHADEMA vitongoji 46 na CCM 1

jnuswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,270
Reaction score
549
Nimetumiwa sms sasa hivi na mtu aliyepo Njombe kuwa katika uchaguzi wa vitongoji wilaya ya Makete CCM imeambulia kitongoji 1 na CHADEMA 46, ninaendelea kufuatilia uhakika wa habari hii na pia wale wenye taarifa ya kina wanaweza kutujulisha zaidi
 
Nimetumiwa sms sasa hivi na mtu aliyepo Njombe kuwa katika uchaguzi wa vitongoji wilaya ya Makete CCM imeambulia kitongoji 1 na CHADEMA 46, ninaendelea kufuatilia uhakika wa habari hii na pia wale wenye taarifa ya kina wanaweza kutujulisha zaidi

Mh hivi makete nako CHADEMA Ipo CCM MNAKAZI
 
Nimetumiwa sms sasa hivi na mtu aliyepo Njombe kuwa katika uchaguzi wa vitongoji wilaya ya Makete CCM imeambulia kitongoji 1 na CHADEMA 46, ninaendelea kufuatilia uhakika wa habari hii na pia wale wenye taarifa ya kina wanaweza kutujulisha zaidi
wewe acha bana ! Habari nyingine hizi zitawafanywa wabadilishe mbinu za kutuua. Wataacha mabom ya mkono watutuvurumishie maskadi sasa. CDM ndo Habari YA mujini
 
Nimetumiwa sms sasa hivi na mtu aliyepo Njombe kuwa katika uchaguzi wa vitongoji wilaya ya Makete CCM imeambulia kitongoji 1 na CHADEMA 46, ninaendelea kufuatilia uhakika wa habari hii na pia wale wenye taarifa ya kina wanaweza kutujulisha zaidi
wakhunyumba tunawakilisha
 
CDM sasa itawapa pressure watawala... hihihihiiiii...hahaahahaaaa...
 
Kumbe bomu la CCM na polisi wake imekuwa bonge la promo kwa CHADEMA...
At least wananchi watakaa kwa amani bcoz hawatarudia tena makosa ya kuwaua.
 
Nimetumiwa sms sasa hivi na mtu aliyepo Njombe kuwa katika uchaguzi wa vitongoji wilaya ya Makete CCM imeambulia kitongoji 1 na CHADEMA 46, ninaendelea kufuatilia uhakika wa habari hii na pia wale wenye taarifa ya kina wanaweza kutujulisha zaidi
yaliyotokea huko ndiyo yatakayotokea Arusha hata wahairishe mara kumi,kwa Arusha akuna atakaeiba kura tutawaomba wabunge wate wa chadema kuja kusimamia kura zinavyopingwa na katika kuesabu. sisi kama wapiga kura wala hatutaki kampeni tena.
 
yaliyotokea huko ndiyo yatakayotokea Arusha hata wahairishe mara kumi,kwa Arusha akuna atakaeiba kura tutawaomba wabunge wate wa chadema kuja kusimamia kura zinavyopingwa na katika kuesabu. sisi kama wapiga kura wala hatutaki kampeni tena.

ndivyo ilivyo lazima kieleweke A town
 
Asanteni sana wana makete kwa kutuunga mkono. Hatulali hadi kieleweke. Piiiiiiiipooooooz!
 
Loh ccm wabaya wamefanikiwa kuiba hiyo moja, jinsi ninavyo jua CCM wasipo toa vitisho, hongo, na wizi. wana uhakika wa kupata zero bila changa. hili wanalijua vizuri sana
 
Wao wanajua siasa za matusi na za kimkafia...sisi tua siasa za hoja na ushawishi
 
Huko ndio kwa Filikunjombe ama vp? Naomba kufahamishwa
hapana ni wilaya jirani Filikunjombe ni Wilaya ya Ludewa ambako uchaguzi wa mwaka jana kulikuwa na uchaguzi wa udiwani kata moja CHADEMA nako walichukua kwa KISHINDO
 
Naamu wacha waendelee na kupiga raia wema mabomu huku CDM ikiendelea kuchanua kwa waTanzania
 
Back
Top Bottom