Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
- Thread starter
-
- #21
Kuandika kila mtu anaweza. . . . huko mtaani mnawaambia? Au mnaishia kucheka cheka na kusifia?
Makeup nzuri ni ile mtu hawezi note. Huyu karundika hasa, ila it blends well. Unless uone before and after, huwezi jua ni kazi gani imefanyika.
Yeahhh ikizidi kweli inapoteza mvuto halisi.
Umeanika ukweli, maana wanawake wengi wanafikiri makeup ndio mvuto, na kupenda kusifiwa wakati hawatambui sifa zinazomwagwa na wanaume juu ya make up ya mwamake ni saikoloji tu kwa vile wanaume tunajua wanaofanya make up wanafikiria kuonekana wazuri zaidi, kumbe ndio wanajiumbua zaidi.
Natural is really beautiful. Watu hatupendi ile kitu ya kujipaka then baada ya dakika unabadilika kuonekana tofauti na ulivyo kuwa, bora kubaki na mwonekano wa kawaida ambao ndio natural beauty yako na hutashangawa na wanaokuona muda wote kwa vile ndo mwonekano wako ulivyo, kuliko huu wa too much make up kisha unachujuka ghafla, kulikoni?
Vipodozi ni hulka ya kawaida kwa mwanamke ile iwe kwa kiasi ili kulinda ule mwonekano wa natural beauty.
Hawa mahiri wa majukwaa ni kitu kingine maana wapo jukwaani anataka kuwazingua watazamaji aonekane mzuka usio wa kawaida ili kuamsha hamasa ya onyesho lake, lakini wengine ndio wanaiga ili kuonekana mitaani na makazini, matatizo ndio yapojitokeza kutojua maana na nafasi ya nani na wapi wanafanya hivyo na kwa ajili ya nini na nani.
Mi sio Lizzy, lakini observation hii nakubaliana nayo kwa asilimia zoteLizzy, kuna ex colleague wangu fulani (wa kike) alinambia kua wanawake wanajiremba to impress other women because men don't know about makeup anyway. Unadhani ni kweli?
(she was refering to zile makeup tooooo obvious, sio discrete).
Kuandika kila mtu anaweza. . . . huko mtaani mnawaambia? Au mnaishia kucheka cheka na kusifia?
Watu wengi hudhani kwamba wanawake hujipendezesha kwa ajili ya wanaume tu kwa kiasi kikubwa sio kweli.
Kuandika kila mtu anaweza. . . . huko mtaani mnawaambia? Au mnaishia kucheka cheka na kusifia?
huwa nawaambia sana coz sipendi hiyo mambo...na nitaendelea kusema mnatutia KICHEFUCHEFU
we lizzy wewe, Acha tu. Nishajaribu kumwambia mdada mmoja hivi kwenye Daladala,alikuwa kanidondoshea lipstick kwenye shati langu matusi niliyoambulia sintoyasahau. Ilinibidi nishukie kituo kisicho changu, tena mvua ikiwa kali balaa
......lakini kama unajipendezesha halafu ukamuuliza Mume, Boyfriend au hata rafiki wa kiume au hata wa kike kwamba, "Nimependeza?" naye akakwambia hujapendeza bali unaonekana kituko, je kuna ubaya kusikiliza/kufuata ushauri wa huyo uliyemuuliza bila kujali kwamba wanawake hawajipendezeshi kwa ajili ya Wanaume?
Hongera kwa hilo.
Ila sidhani kama wanawatia vichefuchefu. . . maana ingekua kweli mngekua mnatapika kutwa mara kumi!!
unajuaje kama tunatapika?
Mi napenda rangi ya chini ya jicho lakin iwe light hiv na pia demu awe na nywele ndogo aweke wave napenda sana halafu apige mapooodaaa kwa mbali yani hapo akija napiga hata tano
Kuna watu washajijua bila hayo mazaga zaga hawatazamiki! Lol.
Hongera kwa hilo.
Ila sidhani kama wanawatia vichefuchefu. . . maana ingekua kweli mngekua mnatapika kutwa mara kumi!![/QUOTE
Kuna vichefuchefu vya aina nyingi, kwani kuna vile visivyotibua mfumo wa tumobni kufanya kilichoingia kurudie njia hiyo hiyo kilitotokea badala ya kutokea njia nyingine ya mfumo wa kawaida. Mbaya zaidi ile inayotia kakasi na kuururumumisha tumbo hata makalio yakawa na kazi ya ziada kusaidia cramps kutokana na kuzidiwa uchafuzi wa hali ya hewa.
Hongera kwa hilo.
Ila sidhani kama wanawatia vichefuchefu. . . maana ingekua kweli mngekua mnatapika kutwa mara kumi!!