Make it undetectable( blackhat sytle >>> WAPENZI wa windows defender kuweni makini)

Make it undetectable( blackhat sytle >>> WAPENZI wa windows defender kuweni makini)

Thefreedom

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2019
Posts
319
Reaction score
316
karibu....

the freedom is here karibu tena katika uwanja wa cybersecurity && hacking na n.k
watu wengi sana wameniuliza private hii kitu na nikaona niweke wazi ukweli kuhusu hackers vs windows defender .

kama uliwahi pitia my previus posts nilisemaga hii kauliii " iko backdoor na techniques ambayo itabypass all microsoft security especiall kwenye antivirus yao iitwayo windows Defender.

sasa leo nimeona ni demostrate hiki kwa njia ya video lesson...

an.jpg


HOW TO BYPASS WINDOWS DEFENDER NA COMPROMISE COMPUTER SYSTEM YYTE IN BLACKHAT STYLE

K
abla kabisa napenda kutoa pongezi kwa CYBERKNOWTZ kwa juhudi za kuwezesha vijana wa ki tanzania wanapata elimu tosha ya jinsi ya kujizuia na Cybercrimes

HIVO basi

nini maaana ya antivirus?

antivirus lugha ya kitoto kabisa tunasema hawa ni walinzi ambao hulinda mifumo endeshaji yetu especially microsoft windows. MFANO wa walinzi hawa ni kama windows defender, eset, avast na n.k

Ufanyaji wa kazi wa hawa antivirus ni kuhakikisha kwamba kifaa chako hakiiingiliwi na malware yyte ambaye anaweza kusababisha uharibifu wa data za user.

sasa hawa antivirus huwa na database yao husika ambayo hutumika kucheck signature kama zina match na software yyte inayozama katika pc yako. na hapa ndio ikikuta kitu cha tofauti hudetect kama virus

hivo basi
HACKERS wengi sana wanasuka exploits na techniques ambazo zitabypass hizi antivirus na kufanikiwa kuzama ndan kwenye pc ya user

so katika ujuzi nikaja kugundua kuwa, microsoft windows defender kwa user sio sahihi kwa maana kwamba pamoja ni kampuni kubwa lakni we can strongly bypass na kurun ransomeware au backdoor yyte kwa mfumo wowote.

sasa hapa dont take me wrong, simaniiishi kitu kibaya au kuharibu jina la hawa ndugu zetu bali nataka wewe msomaji uchukue precautions .

SO kwa hii domestration nitaonesha live kuwa natengeneza backdoor ambaye ni detectable hapa inaweza kuwa ni ransomeware au virus yyte utakaye taka mtumia na nitaonesha wazi kuwa ni detectable kisha nitaonesha

1. how blackhats wanavyoweza kumfanya awe 100% fud ( undetectable)

2. na jinsi gani wanavyobind na microsoft doc in blackhat sytle.

note AM NOT RENSPONSIBLE kwa yyte atakayekiuka sheriaa na kuharibu data za watu, pia usichukue style hiii kuja kusumbua humu jukwaani....

sasa baada ya kusema hivo , wale walionishaurii uzi usiwe unachosha niwawekeee video lesson basi
nami nimefanya hivooo , download video hapa chini na ucheki kwa mda wako.

note. kikubwa ni kudaka concept ili na wewe upate cha kuzungumza ukienda demonstrate popte

download full demostration THEFREEDOM- FULL VIDEO ( TIME=1HR)







 
dhaa mkuu, naomba kujua ukiachana na programming vitu gani vya msingi kuanavyo kuwa expart kwenye harker

naomba kujua

1. OS gan nzuri ya computer (macOS, Window, linux)
2. basic skills nayo takiwa kuwanayo (Language najua C,C#,C++,Python,ruby, swift na kwenye database najua mongoDB, NoSQL, Mysql, PG);
3. Nilazima kujua Networking kwa maana sina skills sana na networking
4. java niya muhimu
5. Software gani za mihumu (git, VPN, n.k)
6.situmii PC yangu, Nataka niandee desktop maalumu kwa ajili ya haya mambo

Lengo langu nataka niweke datazangu salama, siwezi kujikinga na kitu ambocho sikijui kwa undani
 
dhaa mkuu, naomba kujua ukiachana na programming vitu gani vya msingi kuanavyo kuwa expart kwenye harker

naomba kujua

1. OS gan nzuri ya computer (macOS, Window, linux)
2. basic skills nayo takiwa kuwanayo (Language najua C,C#,C++,Python,ruby, swift na kwenye database najua mongoDB, NoSQL, Mysql, PG);
3. Nilazima kujua Networking kwa maana sina skills sana na networking
4. java niya muhimu
5. Software gani za mihumu (git, VPN, n.k)
6.situmii PC yangu, Nataka niandee desktop maalumu kwa ajili ya haya mambo

Lengo langu nataka niweke datazangu salama, siwezi kujikinga na kitu ambocho sikijui kwa undani

kikubwa nachokiona hapo
1. lazima ujue vizuri linux ,
kwenye language kama uko vizur basi ongezea na script bash , java pia ni muhimuuuuu

kwenye upande wa network unatakiwa kujua hizi zaga
  • DHCP
  • NAT
  • Subnetting
  • IPv4
  • IPv6
  • Public v Private IP
  • DNS
  • Routers and switches
  • VLANs
  • OSI model
  • MAC addressing
  • ARP
hasa ufanyaj wa kazi na tofauti wake kwa kila moja ......cuz sisi tunafanya zaga kwa kutumia remote connection so lazima ujue vizuri hizo basic networking areas.

kwenye software kuna zile basic mfano msf framework , burpsuite , wireshark , n.k hizi hazina shida kwa kuwa tuko humu we can share ideas.

kwenye vifaaa kama umeamua kuwa na desktop ni sawa ila kama ukitaka pia uwe unafanya zaga kama me
binafs natumia
external usb adptr kwa ajili ya network analysis
nimenunua hapa https://zsecurity.org/product/alfa-awus036ach-2-4-5-ghz-usb-wireless-adapter/

na router tp link mr3420 cost ni 70000

maelezo yangu ni short cuz nimeona sehemu kubwa uko vzr so naweza sema WELCOME BROO kwenye linux na hacking stuffs
 
kikubwa nachokiona hapo
1. lazima ujue vizuri linux ,
kwenye language kama uko vizur basi ongezea na script bash , java pia ni muhimuuuuu
kwenye upande wa network unatakiwa kujua hizi zaga
  • DHCP
  • NAT
  • Subnetting
  • IPv4
  • IPv6
  • Public v Private IP
  • DNS
  • Routers and switches
  • VLANs
  • OSI model
  • MAC addressing
  • ARP
hasa ufanyaj wa kazi na tofauti wake kwa kila moja ......cuz sisi tunafanya zaga kwa kutumia remote connection so lazima ujue vizuri hizo basic networking areas.
kwenye software kuna zile basic mfano msf framework , burpsuite , wireshark , n.k hizi hazina shida kwa kuwa tuko humu we can share ideas.
kwenye vifaaa kama umeamua kuwa na desktop ni sawa ila kama ukitaka pia uwe unafanya zaga kama me
binafs natumia
external usb adptr kwa ajili ya network analysis
nimenunua hapa https://zsecurity.org/product/alfa-awus036ach-2-4-5-ghz-usb-wireless-adapter/
na router tp link mr3420 cost ni 70000
maelezo yangu ni short cuz nimeona sehemu kubwa uko vzr so naweza sema WELCOME BROO kwenye linux na hacking stuffs

asante mkuu, ngo nili darasa, niangalie itakuaje nikikwama ntakutafuta
 
dah wewe jamaaa una hatari sana ....sasa hizi ndo nyuzi za kusoma humu khaaa ...umenifunza kitu kikubwa saana mkuu . nimechek video saa limoja nimeona kama dakk 15 maana somo zuri sana.BIG UP
 
dah wewe jamaaa una hatari sana ....sasa hizi ndo nyuzi za kusoma humu khaaa ...umenifunza kitu kikubwa saana mkuu . nimechek video saa limoja nimeona kama dakk 15 maana somo zuri sana.BIG UP
karibu
 
Inawezekana kutengeneza virus wakawa real traffic na kuclick matangazo kama binadamu bila kampuni husika ya matangazo kushitukia?
Inawezekana kutengeza Virus ambao watabypass roboti za facebook na kushare post unazotaka bila kufungiwa?
Inawezekana kutengeneza virus ambao wanaunblock url link iliyofungiwa na maroboti ya facebook?

Muongozo tafadhali kama kuna huo uwezekano
 
Pia napenda kujua basics za Kali Linux, (kama kuna documents itume hapa)
 
Back
Top Bottom