ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,758 Reaction score 9,592 May 9, 2023 Thread starter #81 mkabasia said: Sijawai badili ID. Click to expand... mmh basi sawa karibu kwa hoja
ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,758 Reaction score 9,592 May 9, 2023 Thread starter #82 Jijune mfwene said: Hali ya hewa leo huko nje nadhani haiko sawa Click to expand... hahaaaaaaaa una maanisha nn mkuu
Jijune mfwene said: Hali ya hewa leo huko nje nadhani haiko sawa Click to expand... hahaaaaaaaa una maanisha nn mkuu
farfat JF-Expert Member Joined Jun 10, 2021 Posts 379 Reaction score 694 May 9, 2023 #83 Niliwahi kumuuliza mke wangu ni kitu gani anakipenda tukiwa faragha ili niwe namfanyia aloo hajawahi niambia na hajuagi so nimejiongeza mwenyewe tu kuwa mmbunifu lkn usitegemee kama utaambiwa kitu labda wanawake wenu
Niliwahi kumuuliza mke wangu ni kitu gani anakipenda tukiwa faragha ili niwe namfanyia aloo hajawahi niambia na hajuagi so nimejiongeza mwenyewe tu kuwa mmbunifu lkn usitegemee kama utaambiwa kitu labda wanawake wenu