Wadau naomba kuhabarishwa malipo ya facebook ads yanakuwaje? Je unaweza kutangaza ukiwa hauna hela? Wanakata pesa kabla ya tangazo au baada ya tangazo?
unaweza kuweka ad hata kama huna salio, wao wanacharge mwisho wa siku tangazo au budget ikifika kikomo... na kama kwenye akaunti huna salio, basi hutoweza kueka tangazo jengine mpaka uwalipe
unaweza kuweka ad hata kama huna salio, wao wanacharge mwisho wa siku tangazo au budget ikifika kikomo... na kama kwenye akaunti huna salio, basi hutoweza kueka tangazo jengine mpaka uwalipe
unaweza kuweka ad hata kama huna salio, wao wanacharge mwisho wa siku tangazo au budget ikifika kikomo... na kama kwenye akaunti huna salio, basi hutoweza kueka tangazo jengine mpaka uwalipe