Makato ya DATA kwenye mitandao ya simu

Makato ya DATA kwenye mitandao ya simu

hunchback

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2014
Posts
658
Reaction score
289
Yawezekana wewe haikugusi moja kwa moja lakini swala la makato ya Data kwenye mitandao ya simu yamekuwa mzigo kwa wengi. Kuna mtandao mmoja kila baada ya wiki mbili unaongeza ada ya Data au kupunguza kifurushi cha data.

Toa maoni/mchango wako nini kifanyike yawezekana serikali yetu 'sikivu' itasikia na kufanya kitu..
 
Ungeutaja huo mtandao usiogope...maana kama ni tigo au voda au airtel kila mara wanapewa lawama na maneno makali na watumiaji wao humu jf
 
Taja huo mtandao wahusika wapo hapa JF unaficha nini
 
Nikweli mkuu mimi jana tu nilikua nanunu kifurushi cha OMG nashangaa imepanda ghalama cha week ilikua sh, 6'000 sasa ni sh, 8'000 kulikoni
 
Ukinunua wiki hii wiki ijayo gharama zimepanda. Hivi Mamlaka ya mawasiliano inafanya kazi gani!?
 
Yawezekana wewe haikugusi moja kwa moja lakini swala la makato ya data kwenye mitandao ya simu yamekuwa mzigo kwa wengi.
Kuna mtandao mmoja kila baada ya wiki mbili unaongeza ada ya data au kupunguza kifurushi cha data.
Toa maoni/mchango wako nini kifanyike yawezekana serikali yetu 'sikivu' itasikia na kufanya kitu

Hapo Hamna tofauti nakumpigia mbuzi ngoma hamna mwenye mapenzi mazuri nasisi watumiaji kuazia watendaji Wa wizara husika ,wasimamiaji wa mawasiliano hadi kampuni siku nyingi watu tumepaza sauti Hamna hata mmoja amesikia wala kufatilia
 
Unaweka mafumbo unamuogopa nani sasa kwani kutaja mtandao nayo ni ishu .
 
Tatizo na nyie hamujui kuiba! Najipatia 30 GB kila wiki za Ujanja ujanja, google store bwana kumbe kuna vitu vizuri hatutaki kuvipekenyua na si lazima uwe umesoma IT ni utundu wako tu
 
Tatizo na nyie hamujui kuiba! Najipatia 30 GB kila wiki za Ujanja ujanja, google store bwana kumbe kuna vitu vizuri huko hatutaki kuvipekenyua na si lazima uwe umesoma IT ni utundu wako tu
 
Tatizo na nyie hamujui kuiba! Najipatia 30 GB kila wiki za Ujanja ujanja, google store bwana kumbe kuna vitu vizuri hatutaki kuvipekenyua na si lazima uwe umesoma IT ni utundu wako tu

Tupe maujanja mkuu!!
 
Tatizo na nyie hamujui kuiba! Najipatia 30 GB kila wiki za Ujanja ujanja, google store bwana kumbe kuna vitu vizuri huko hatutaki kuvipekenyua na si lazima uwe umesoma IT ni utundu wako tu

Mkuu Elimu haifichwi hebu tupe mavitu ili tupunguye maumivu ya haya majizi
 
mm ni muhanga wa hili na kabla sijaama huu mtandao nahakikisha nahamisha na watu km kumi ivi...pambaffffffff
 
Back
Top Bottom