Makato tunaponunua LUKU

Makato tunaponunua LUKU

Chizoba

Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
52
Reaction score
49
Mambozz,

Naomba kuuliza swali la msingi. Hv tunaponunua LUKU kwa mitandao ya simu au kwa MaxMalipo tunakatwa kiasi gani au asilimia ngapi ya kulipia huduma hiyo?
Maana nimegundua nikiwa na salio taslimu na nikataka kununua umeme kwa pesa yote ya salio naambiwa salio halitoshi.
Halikadhalika kwa max malipo ukijumlisha ule mchanganuo, total inakuja pungufu ya hile pesa uliyotoa. Naomba kueleweshwa tafadhali.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna huduma ya bure. Kama hutaki makato nenda kwenye Terminal za Tanesco ukanunue
 
Voda ni lazima salio liliwe, jaribu kununua kwa mitandao mingine.
 
Back
Top Bottom