Makato katika mifuko ya hifadhi ya jamii

Makato katika mifuko ya hifadhi ya jamii

backila

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
14
Reaction score
1
Habari zenu wanabodi!

Naomba kuuliza kuhusu Makato ya ya hii mifuko ya hifadhi ya jamii yanatakiwa yakatwe kwenye gross salary au basic salary. Na sheria ya Tanzania inasema nini kuhusu hili suala.

Naomba kuwasilisha!
 
habari ni poa hili swali kwanini usiulize ofisini kwenu jamani hata jirani na hr wako anaeza kukujibu......
 
Mpaka nafikia uamuzi wa kuuliza humu Jf nimeshaulizia pia huko HR lakini bado napewa majibu mawili yote kwa nyakati tofauti.
 
gross salary is the figure, before making statutory or other deductions.

gross salary is basic+ HRA+ trnasport+ other allowance. Kwa iyo basic salary ipo ndani ya gross salary. Wakishafanya makato yote na kama kuna addition charge kwny salary yako inayo baki inaitwa net pay salary ambayo ndo unapewa as take home.

Wataalamu zaid watakuja ongezea nyama au kurekebisha nilipotereza.
 
Habari zenu wanabodi!

Naomba kuuliza kuhusu Makato ya ya hii mifuko ya hifadhi ya jamii yanatakiwa yakatwe kwenye gross salary au basic salary. Na sheria ya Tanzania inasema nini kuhusu hili suala.

Naomba kuwasilisha!

Makato ya mifuko ya hifadhi ya jamii hukatwa ifuatavyo kisheria inatakiwa ukatwe kwenye Basic Salary bila kuwepo na allowance nyingine kama Overtime,housing nakadhalika,hiyo ndivyo makato hukatwa lakini mwajiri wako akiwa ni mwema kwako Basi huchanganya na allowance zako hizo ili uweze kuwa na mchango mkuu ila ni hiyari ya mwajiri tafuta notes ya SSRA utaikuta mkuu,na wajiri wema wanaweza kuchangia 15% wewe 5% huyu ni loyal kwako.
 
Habari nzuri ndugu,

Basic Salary ni salary ambayo haina Allowances zozote.
Gross Salary ni salary ambayo ni Basic Salary + Other Allowances.

Kuna makampuni mengi ya mifuko ya Hifadhi ya Jamii,mie nitayaelezea matatu hapa(NSS,GEPF na PPF).

NSSF wanakata 10% ya Gross Salary,PPF Wanakata 10% ya Basic Salary,GEPF wanakata 5% ya Basic(Gross not sure).

Chagua mfuko wanaokata kwa Gross au 5% ila waajiri wengi hawaupendi GEPF kwa sababu unawalima wao 15%.

Incase you need more clarifications,don't hesitate to holla back.
 
kukatwa kwenye gross ni kwa manufaa yako wewe, usiende kuanzisha ligi na HR
 
Back
Top Bottom