figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,719
- 55,829
Balozi Ombeni Sefue afungua semina elekezi ya siku moja ya makatibu wakuu na manaibu katibu wakuu Ikulu Dar es Salaam.
Hii ni tofauti na tangazo lililotolewa na Rais kwamba awamu ya tano haina semina elekezi, bali viongozi walioteuliwa wajielekeze wenyewe kwenye matatizo ya wananchi.
Nawatakia kila la heri.
Hii ni tofauti na tangazo lililotolewa na Rais kwamba awamu ya tano haina semina elekezi, bali viongozi walioteuliwa wajielekeze wenyewe kwenye matatizo ya wananchi.
Nawatakia kila la heri.
View attachment 314395
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu Katibu Wakuu wakati akifungua Semina Elekezi kwa Makatibu hao Ikulu jijini Dar es Salaam leo January 2, 2015
View attachment 314395 View attachment 314396
Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakisikiliza kwa makini Hotuba ya Ufunguzi iliyokuwa ikitolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Semina elekezi ya siku moja Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Last edited by a moderator: