Makao Mkuu ya Ulinzi wa Taifa, hiki ni kitu gani? Jeshi jipya? Nani Mkuu wake?

Makao Mkuu ya Ulinzi wa Taifa, hiki ni kitu gani? Jeshi jipya? Nani Mkuu wake?

w0rM

Member
Joined
May 3, 2011
Posts
96
Reaction score
231
Tanzania tunafahamu kuwa tuna Majeshi ya aina tofauti na yote yana viongozi wake, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lililo chini ya Jenerali Jacob John Mkunda lina Kamandi 5 - Kamandi ya Jeshi la Wanamaji, Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu, Kamandi ya Jeshi la Anga, Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi, Kamandi ya Jeshi la Akiba na Jeshi la Kujenga Taifa.

Sasa leo Rais akiwa amevalia gwanda za Jeshi na akisema kwa mamlaka aliyonayo kama Amiri Jeshi Mkuu huku akiwa uwanja ukiwa umetawaliwa na Wanajeshi amesema amezindua Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa, na tujua Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yapo Msalato Dodoma

Sasa leo Rais amezindua nini? Na hicho alichozindua kipo chini ya nani? Na Majukumu yake ni yepi?

Soma: Dodoma: Rais Samia azindua Makao Makuu ya ULINZI wa Taifa
 
Hilo jina na mimi limenishangaza. Yaani kwamba vyombo vyote vya majeshi ya ulinzi na usalama yanawekwa eneo moja? Hapo hata kiusalama wa nchi imekaaje?

Najua wamejiaminisha kuwa Dodoma ni salama zaidi kwao hasa kwa pressure za kisiasa zinazoongezeka kila uchao ila fikra zao zinafikirisha sana.

Bado wana fikra za karne ya 20. Dunia inabadilika kwa kasi kuliko uwezo wa viongozi kufikiri.
 
Hilo jina na mimi limenishangaza. Yaani kwamba vyombo vyote vya majeshi ya ulinzi na usalama yanawekwa eneo moja? Hapo hata kiusalama wa nchi imekaaje?

Najua wamejiaminisha kuwa Dodoma ni salama zaidi kwao hasa kwa pressure za kisiasa zinazoongezeka kila uchao ila fikra zao zinafikirisha sana.

Bado wana fikra za karne ya 20. Dunia inabadilika kwa kasi kuliko uwezo wa viongozi kufikiri.
Tunakuwa na Pentagon yetu na sisi😁
 
Hilo jina na mimi limenishangaza. Yaani kwamba vyombo vyote vya majeshi ya ulinzi na usalama yanawekwa eneo moja? Hapo hata kiusalama wa nchi imekaaje?

Najua wamejiaminisha kuwa Dodoma ni salama zaidi kwao hasa kwa pressure za kisiasa zinazoongezeka kila uchao ila fikra zao zinafikirisha sana.

Bado wana fikra za karne ya 20. Dunia inabadilika kwa kasi kuliko uwezo wa viongozi kufikiri.
Samia ana miaka 65 hawezi kuwa na fikra mpya. Hata wasira ana miaka 80 plus Hana fikra mpya. Nyerere alistaafu akiwa na miaka 62
 
Hilo jina na mimi limenishangaza. Yaani kwamba vyombo vyote vya majeshi ya ulinzi na usalama yanawekwa eneo moja? Hapo hata kiusalama wa nchi imekaaje?

Najua wamejiaminisha kuwa Dodoma ni salama zaidi kwao hasa kwa pressure za kisiasa zinazoongezeka kila uchao ila fikra zao zinafikirisha sana.

Bado wana fikra za karne ya 20. Dunia inabadilika kwa kasi kuliko uwezo wa viongozi kufikiri.
Sasa yale Makao Mkuu ya Jeshi Msalato yanakuwaje na wakati huo huo tuna Makao Mkuu pale Ngome. Huu si kulimbikiza majengo kusiko na umuhimu?

Kwa kweli mawazo yao hayaeleweki
 
Wakisoma historia wamesema, jwtz haikuwa kuwa na makao makuu ya kudumu, akaanza kueleza kuwa makao makuu yalikuwa upanga, mwaka 2019 wakahamia dodom, wakawa wamejenga makao makuu ya muda ya jesh pale msalato

Baadae wamejenga makao makuu ya kisasa.

Wakaongeza kuwa humo kutakuwa ni makao makuu ya jwtz/ngome ya jesh pamoja na wizara ulinzi itakuwa humo.

Kwa ufupi, tangu kuanzishwa kwa jwtz haikuwahi kuwa na makao makuu ya kudumu yaani upanga na msalato yote yalikuwa ya muda..na sasa ndyo wamepata makao makuu ya kudumu.

KAMA HUJAELEWA WAWEZA ENDA KAMBI YA JWTZ ILIYOPO KARIBU NA WEWE UWAULIZE WATAKUPA MAJIBU AU NENDA OFISI YOYOTE YA MKUU WA WILAYA MUULIZE MSHAURI WA MGAMBO WA WILAYA.
 
Hamna la ajabu hapo, ni kama tu kuna CIA,FBI, ICE n.k. au MI5,MI6, Scotland Yard n.k. ni kugawana majukumu kwa vyombo vya ulinzi wa nchi. Na hio makao makuu ni katika kushare data kwa vyombo vya ulinzi na usalama wa Taifa. Warugaruga na hili mnataka kufanya ni big deal.
 
Back
Top Bottom