Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan awasili Uwanja wa Jamhuri Morogoro kwa ajili ya kuzindua mbio za Mwenge wa Uhuru.
Mwenge huo wa UHURU utakimbizwa nchi nzima katika yote Mikoa 31 na Halmashauri 173.
Tusitegemee kufutwa leo wala kesho
Mwenge huo wa UHURU utakimbizwa nchi nzima katika yote Mikoa 31 na Halmashauri 173.
Tusitegemee kufutwa leo wala kesho