CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Makamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake CUF pia ni mgombea ubunge Jimbo la kigoma vijijini Mhe. Kiza Mayeye akiongoza ghafla ya kumkabizi fedha taslimu milioni moja Mgombea wa Urais wa CUF ambaye pia ni Mwenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba.
Fedha hizo zilizochangishwa na jumuiya ya wanawake wa chama Cha CUF pamoja na wanawake ambao ni wanachama wa chama hicho.
#MchumiTufikishe