Wadau kwa kifupi huyu ndo Prof. Makame Mbarawa. The guy looks really good, ngoja tusubiri huko bungeni, labda atabadili sura ya researches nchini.
Professor Makame Mbarawa is a holder of a MSc Marine Engineering degree (Astrakhan State Technical, University, Astrakhan- Russia, 1992) and PhD of the University of New South Wales, Sydney, Australia (1999). He joined Tshwane University of Technology, Pretoria, South Africa as a Senior Lecturer in the Department of Mechanical Engineering. He was promoted to the position of Associate Professor in October 2005 and finally to that of Full Professor in July 2009. Professor Mbarawa's research interests are combustion of gaseous, Flue gas desulphurization, Filtration combustion in porous media; Soot formation in laminar diffusion flames; Alternative fuels and Renewable energy resources; and Biomass combustion. Over the years, Professor Mbarawa has published 45 of articles in national and international journals and presented 36 scientific papers in various conferences.
Kama una more info zilete hapa tuweze ku justify uteuzi wa JK.
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi
Wadau kwa kifupi huyu ndo Prof. Makame Mbarawa. The guy looks really good, ngoja tusubiri huko bungeni, labda atabadili sura ya researches nchini.
Professor Makame Mbarawa is a holder of a MSc Marine Engineering degree (Astrakhan State Technical, University, Astrakhan- Russia, 1992) and PhD of the University of New South Wales, Sydney, Australia (1999). He joined Tshwane University of Technology, Pretoria, South Africa as a Senior Lecturer in the Department of Mechanical Engineering. He was promoted to the position of Associate Professor in October 2005 and finally to that of Full Professor in July 2009. Professor Mbarawas research interests are combustion of gaseous, Flue gas desulphurization, Filtration combustion in porous media; Soot formation in laminar diffusion flames; Alternative fuels and Renewable energy resources; and Biomass combustion. Over the years, Professor Mbarawa has published 45 of articles in national and international journals and presented 36 scientific papers in various conferences.
Kama una more info zilete hapa tuweze ku justify uteuzi wa JK.
Hii habari ya shule inanichanganya sana, sikuhizi watu hawasomi wanadesa tu! jana wabunge wanajinadi wamesoma wana masters wame zurura nje ya nchi vyakutosha lakini wana ulizwa kirefu cha SADEC hawana uwezo wakujibu, SADEC ina jumuisha nchi ngapi Hakuna jibu, Majukumu ya SADEC niyapi hakuna jibu, SADC ilianzishwa nchi gani hakuna jibu. Hawa niwabunge tena wanajinadi kusoma sana na uzoefu wa kuzurura nchi zawatu.Sasa mioni sielewi watu sikuhizi wana somaje na una enda kugombea nafasi ya uwakilishi SADEC wakati hata hujui hicho ni kitugani na majukumu yake ni yapi. Hapo sielewi
Jamaa ni msomi (moja ya recent paper zake attached) lakini ndani ya CCM kila kitu ni ndiyo mzee na huo ndiyo mwisho wa uacademia wake. Soon atakuwa kama Mukandala na wasomi wengine wa hivyo