PostGE2025 Makame: Kuna watu walikuwa na mabegi ya mgongoni yaliyojaa mabomu ya Petroli Oktoba 29

PostGE2025 Makame: Kuna watu walikuwa na mabegi ya mgongoni yaliyojaa mabomu ya Petroli Oktoba 29

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Abdallah Makame (CCM), amesema kuwa hana ufahamu wa chanzo cha matukio ya Oktoba 29, lakini ni kweli kuwa kulikuwa na watu waliokuwa wakitembea na mabegi ya mgongoni yaliyojaa mabomu ya petroli yaliyotumika kuchoma magari.

Ameeleza kuwa hadi sasa bado kuna baadhi ya magari yaliyoteketezwa ambayo hayajasogezwa, na taarifa hizo zinatokana na maelezo ya mashuhuda wa matukio hayo.
 
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Abdallah Makame(CCM) amesema kuwa sakasaka lililotokea wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 29 na siku zilizofuata, kuna watu walikuwa wanatembea na mabegi yaliyojaa mabomu ya petroli kwa ajili ya kuchoma magari.

 
Huyu mpumbavu anaweza kueleza kwanini internet ilizimwa ??
 
Hivi mpaka sasa sijaelewa kila waziri na raisi wao feki wanaongea nini.
Kama wanaushaidi walete na marehemu waliobeba hayo .Au ni huyu
20260105_045752.jpg
 
HAKUNA HAJA KUENDELEA NA TUME.TUME MMEUNDA BDO MNAINGILIA TUME.KUNA HAJA GANI KUWA NA TUME KM YULE ALIYEUNDA NAYE ANAIDHARAU
 
PM MWIGULU MAKAME NA SAMIA WANAJUA MATOKEO YA TUME NA WAMESHAPANGA HAYA WANAYOONGEA MNAPENYEZEWA KIDOGODOGO
 
Back
Top Bottom