Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kujiuzulu ameisha sema, hata mlie machozi ya damu mpaka muda wake kisheria uishe na naisikia ni 2016 , ambapo uchaguzi wa 2015 atakuwepo tena tume ya uchaguzi
acha porojo brother,
sasa ajiuzulu kwani ye ndio aliowaumba wapiga kura? amazing, thanks
Kuziuzuru hawezi kujiuzuru ameisha sema , na 2015 bado atakuwa MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI. MUDA WAKE WAISHA 2016
Hawezi kujiuzulu ameisha sema, hata mlie machozi ya damu mpaka muda wake kisheria uishe na naisikia ni 2016 , ambapo uchaguzi wa 2015 atakuwepo tena tume ya uchaguzi
Kwa dhambi alizofanya lazima afe kabla ya 2015.Mshahara was dhambi ni mauti.Aende huko depth of hell aungue milele he doesnt deserve to live.Washindanao na Bwana watapondwa kabisa, evil doers shall be cut off from the face of the earth asema bwana wa majeshi.Badala atubu na kumpokea Bwana ukizingatia hata miaka mitano hana anajitengenezea hukumu ya kutishaHawezi kujiuzulu ameisha sema, hata mlie machozi ya damu mpaka muda wake kisheria uishe na naisikia ni 2016 , ambapo uchaguzi wa 2015 atakuwepo tena tume ya uchaguzi
Mzee makame kwa nini hakujifunza yale ya Kivuitu wa kenya? Tena humuhumu JF watu walianza kuandika mapema kabisa kumtahadharisha yeye na tume nzima. Kama aliona mambo ya uhuni wa ccm asingeyaweza, kwa nini hakujiudhuru mapema? Kujiuzuru sasa haitatusaidia kwa sababu kitendo alichokifanya tayari kimeumiza watu wengi na - tuseme - taifa zima. Atawezaje kuponya vidonda vya watanzania wanaonung'unika na kulia. Hakika atakufa kifo cha aibu. Kitendo hiki kitaisumbua sana nafsi yake.
Hakika ni vigumu kuzipinga tuhuma za Slaa -- kuna dosari nyingi mno, tena za wazi wazi. Hawezi kuzipatia maelezo moja moja, labda ajikinge tu kwa kusema ni typing error, au akiri bayana kwamba amepotoshwa na wasimamizi wake vituoni.
By the way, hawa anaodai ni wasimamizi wake -- ni kweli ana mamlaka nao -- yaani Tume yake ndiyo iliwateua? Hawa ma-DED si wateule wa Mwenyekiti wa chama tawala -- CCM -- kwa nini Tume inataka kutufanya Watanzania mafala?
Hawezi kujiuzulu ameisha sema, hata mlie machozi ya damu mpaka muda wake kisheria uishe na naisikia ni 2016 , ambapo uchaguzi wa 2015 atakuwepo tena tume ya uchaguzi
:nono: kilichobaki ni kuwamaliza tu kwa kuwagonga na magari, au kuwachoma ndani ya nyumba zao au kuanzisha al shaabab ya bongo, maana tushachoka usawa huu, wanadhani wao ni miungu waliopewa kuitawala bongo milele? ngoja tuoneNasikia Makame anataka kujiuzulu kwa aibu, baada ya kubaini alipotoshwa na UWT -- ila tu baadhi ya makamishna wazee wengine wanamsihi abakie madarakani hadi zoezi la kutanbgaza matokeo liilshe. Bila shaka anaanza kutubu kwa madhambi aliyowafanyia Watz.
Naye Kiravu tangu ashinikize kutangazwa kwa matokeo ya Segerea amekuwa haonekani katika vikao kadha vya Tuyme na taarifa zinasema anasumbuliwa na sukari.