saimon amos
Member
- Dec 31, 2018
- 16
- 7
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Yanga Heritier Makambo ametoweka katika klabu hiyo bila uongozi kuwa na taarifa yeyote.
Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Makambo ametoweka na mabegi yake katika hotel aliyokuwa akiishi bila taarifa rasmi huku simu yake ikiwa haipatikani hewani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Makambo ametoweka na mabegi yake katika hotel aliyokuwa akiishi bila taarifa rasmi huku simu yake ikiwa haipatikani hewani.
Sent using Jamii Forums mobile app