Sasa kwani ilikuwa lazima uanzishe thread? Sijaona chochote chenye kustahili kuanzisha thread kwenye maandishi yako.Hawa ndo watakaotaga yai la mgawanyiko CCM kama wasipokuwa makini na kauli zao za kwenye vyombo vya habari.
Mwl Nyerere alisema anayetaka kubebwa kama mgonjwa au maiti aachwe abebwe tu kama wabebaji wapo tayari kubeba kwa hiari Yao.
CCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania, kama hii ni kweli basi hakuna haia ya kuhangaika na wanaotangaza nia ambao hesabu zinaonyesha kuwa hawatapata watakao waunga mkono.
Hofu ya nini?
We we unatamani watu wote wawe kimya kwenye mambo fulanifulani. Hii sio sawa, kama huoni kitu sio wote wana makengeza.Sasa kwani ilikuwa lazima uanzishe thread? Sijaona chochote chenye kustahili kuanzisha thread kwenye maandishi yako.
Sasa kwani ilikuwa lazima uanzishe thread? Sijaona chochote chenye kustahili kuanzisha thread kwenye maandishi yako.
Hawa ndo watakaotaga yai la mgawanyiko CCM kama wasipokuwa makini na kauli zao za kwenye vyombo vya habari.
Mwl Nyerere alisema anayetaka kubebwa kama mgonjwa au maiti aachwe abebwe tu kama wabebaji wapo tayari kubeba kwa hiari Yao.
CCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania, kama hii ni kweli basi hakuna haia ya kuhangaika na wanaotangaza nia ambao hesabu zinaonyesha kuwa hawatapata watakao waunga mkono.
Hofu ya nini?
Nimejiwakilisha mwenyewe acha upumbavu. Kwani ni wapi nimesema nimewakilisha amba ruti yako. Stupid.Unamuwakilisha Nani? Semea natsi yako
Kivipi useme natamani watu wote wawe kimya?Thibitisha usemi wako.We we unatamani watu wote wawe kimya kwenye mambo fulanifulani. Hii sio sawa, kama huoni kitu sio wote wana makengeza.
Tusimezeshane Sumu TafadhaliCCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania
Ni dhaifu kweliKwa analysis yangu dhaifu, Makamba ni janga la Taifa
Ccm na Jiwe wote hawapendwi ,ili kaeni mkijua kabisa ,yaani MTU anayevunjia watu nyumba kwa sababu yoyote ile hawezi kupendwa ,mtu anayefukuza wafanyakazi kwa sababu yoyote ile iwe darasa la saba au vyeti feki ,hawezi kupendwa maana nao ni binadamu na wana haki zao , MTU anayekataa kuongeza mshahara na madaraja ya watumishi hawezi kupendwa ,MTU anayenyima mikopo wanafunzi wa elimu ya juu hawezi kupendwa ,MTU anayepunguza mzunguko wa fedha hawezi kupendwa , MTU anayefungulia watu kesi za uhujumu uchumi kwa visasi hawezi pendwa ,MTU anayetoa kauli za ajabu kama ile ya wahanga wa tetemeko hawezi pendwa ,MTU anayeteua watumishi wa umma wasio na vigezo hawezi pendwa , MTU ambaye hakemei mauaji na watu kufungwa kwenye viroba hawezi pendwa ,MTU anayefunga wanasiasa kisa wamemkosoa hawezi pendwa ,MTU anayekiuka haki za binadamu na uraia hawezi pendwa ,yako mengi sana yanayofanya asipendwe hata afanyaje hapendwi tena kwa kujitakia mwenyewe .Hawa ndo watakaotaga yai la mgawanyiko CCM kama wasipokuwa makini na kauli zao za kwenye vyombo vya habari.
Mwl Nyerere alisema anayetaka kubebwa kama mgonjwa au maiti aachwe abebwe tu kama wabebaji wapo tayari kubeba kwa hiari Yao.
CCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania, kama hii ni kweli basi hakuna haia ya kuhangaika na wanaotangaza nia ambao hesabu zinaonyesha kuwa hawatapata watakao waunga mkono.
Hofu ya nini?
Hawa ndo watakaotaga yai la mgawanyiko CCM kama wasipokuwa makini na kauli zao za kwenye vyombo vya habari.
Mwl Nyerere alisema anayetaka kubebwa kama mgonjwa au maiti aachwe abebwe tu kama wabebaji wapo tayari kubeba kwa hiari Yao.
CCM ya sasa inapendwa sana kila kona Tanzania, kama hii ni kweli basi hakuna haia ya kuhangaika na wanaotangaza nia ambao hesabu zinaonyesha kuwa hawatapata watakao waunga mkono.
Hofu ya nini?