Wapo watakaowaaminiOf all the people hata Quares anaweza kusema chochote akaeleweka? lol mkoa wa mbeya waulize wananchi walivyokuwa hawaishi kuandamana...he is just a failure...
Ni kweli wanaopiga kelele unaweza ku-connect dots...ukajua wanatokea wapi hawana lolote, kama wanataka real politics wamtengeneze mtu wao (CCM backbenchers) apambane na JK 2010...
lakini nani atamwamini qaures, sumaye, mkapa, butiku and his company just lost generation lol
Makamba asipojiuzulu basi karogwa au ana ugonjwa wa uduvi!
Hapo kwenye Nyekundu unamaanisha JK au? maana najua Katibu Mkuu hachaguliwi bali anateuliwa!Tatizo ni CCM na sio Makamba , kwani kama lingekuwa tatizo ni Makamba basi CCM wangeshamtoa kwani wao ndio walimweka,ila kuendelea naye maana yake wanaridhishwa sana na utendaji wake na yote anayosema ni kwa niaba ya chama na yameedhihirika kuwa yanakijenga zaidi chama.
- Warioba aaamue either kuhesabiwa kama kina Quaresi, au anyamaze, somebody should tell Warioba kwamba Makamba, hakujipa ukatibu wa CCM, kama hajui aliyempa basi akaangalie katiba ya CCM ni wajibu wa nani kumchagua katibu wake mkuu?
- Waziri mmoja zamani kwa jina Makweta, siku moja alikwenda kwa bosi wake then Rais Mkapa, kumlalamikia kuhusu msaidizi mmoja wa Rais kwa jina la Kumchaya, Mkapa alimsikiliza mpaka akamaliza kwanza, akamjibu kwamba kama Kumchaya hafai basi na mimi niliyemchagua kuwa msaidizi wangu sifai, next cabinet Makweta, akatupwa nje huku Kumchaya akiendelea na unga!
- Warioba aache kuzunguka mbuyu, Quaresi ameshapandisha the bar, sasa kina Warioba wasiturudishe nyuma tena wote tunajua Makamba amechaguliwa na nani!
Respect.
FMEs!
Of all the people hata Quares anaweza kusema chochote akaeleweka? lol mkoa wa mbeya waulize wananchi walivyokuwa hawaishi kuandamana...he is just a failure...
Ni kweli wanaopiga kelele unaweza ku-connect dots...ukajua wanatokea wapi hawana lolote, kama wanataka real politics wamtengeneze mtu wao (CCM backbenchers) apambane na JK 2010...
lakini nani atamwamini qaures, sumaye, mkapa, butiku and his company just lost generation lol
Wakuu hapo juu shikamoni sana. Hawa akina Makamba ni JK ndio aliwateua na anawalinda.
Maropes alinusurika kung'olewa na NEC Vasco DaGama akamwokoa sasa tutawatofautishaje?
Warioba naye uoga tu unamsumbua sijui anaogopa kufutiwa pensheni yake. Anachanganya sana anaposema Rais anawaelewa wakati Rais huyo huyo wakati anatua nchini ametamka kuwa watu wana chuki binafsi kwa sababu aliwashinda 2005, Pia amesema atawajibu. Atatuambiaje kuwa anawaelewa?
Naanza kuhisi kuwa ana madoa yake naye na kivuli chake kinamfuata japo aliyosema yana mantiki.
Mtazamo wangu ni kwamba JK amepangiwa viongozi na hajapanga yeye hivyo hana uwezo wa kuwaondoa,angekuwa na uwezo wa kuwaondoa ungekuta ameshafanya mabadiliko siku nyingi lakini ubavu huo hana.
Inasikitisha mahali ambapo Tanzania tumefika,hakika JK hapaswi kupata awamu ya pili kuruhusu hili kutokea ni kuruhusu machafuko kutokea Tanzania na machafuko yakitokea hakuna atakayeweza kuyazima.
Of all the people hata Quares anaweza kusema chochote akaeleweka? lol mkoa wa mbeya waulize wananchi walivyokuwa hawaishi kuandamana...he is just a failure...
Ni kweli wanaopiga kelele unaweza ku-connect dots...ukajua wanatokea wapi hawana lolote, kama wanataka real politics wamtengeneze mtu wao (CCM backbenchers) apambane na JK 2010...
lakini nani atamwamini qaures, sumaye, mkapa, butiku and his company just lost generation lol
- Warioba aaamue either kuhesabiwa kama kina Quaresi, au anyamaze, somebody should tell Warioba kwamba Makamba, hakujipa ukatibu wa CCM, kama hajui aliyempa basi akaangalie katiba ya CCM ni wajibu wa nani kumchagua katibu wake mkuu?
- Waziri mmoja zamani kwa jina Makweta, siku moja alikwenda kwa bosi wake then Rais Mkapa, kumlalamikia kuhusu msaidizi mmoja wa Rais kwa jina la Kumchaya, Mkapa alimsikiliza mpaka akamaliza kwanza, akamjibu kwamba kama Kumchaya hafai basi na mimi niliyemchagua kuwa msaidizi wangu sifai, next cabinet Makweta, akatupwa nje huku Kumchaya akiendelea na unga!
- Warioba aache kuzunguka mbuyu, Quaresi ameshapandisha the bar, sasa kina Warioba wasiturudishe nyuma tena wote tunajua Makamba amechaguliwa na nani!
Respect.
FMEs!
Swala la elimu tunalitambua sana kwamba ni problem kwake....
Hazimtoshi upstairs...wote tunajua, kwanza ni nature yake...
kwa kujikomba tu duh balaa mpaka anauzalilisha umri wake, chama chake, hata familia
yake, ndo mana kwangu inakua ngumu kuamini kuwa mtoto wake atakua na maadili
ikiwa mzazi wake tu anabihave kiivyo. ukizingatia kwamba mtoto wa kiume huchukua
tabia kwa babaye na wakike kwa mamaye....thx for the report INVISIBLE....
Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia nani anasema na kuangalia nini kinasemwa.
Tujiulize swali moja dogo tu, yanayosemwa ni kweli au si kweli?
Mambo ya motives and ll kwa sasa ni mapema, wanasema nyoka akiingia ndani ya nyumba hamuanzi kujadiliana nani aliacha mlango wai, mnamuua/ mnamtoa nyoka nje ya nyumba, mnafunga mlango, then ndio mnaweza kuanza kujadiliana nani aliacha mlango wazi.
Kwa hiyo kwa sasa hivi, as long as hawa wazee wanaongea ukweli, tu focus kwenye regime change, haya maswali mengine ya motives zao na past prformances zao yatakuwa timely only tutakapoweza kumtoa Kikwete.