Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Nawakumbusha tu kwamba, Chadema ni chama pekee cha upinzani ambacho kimefanya mabadiliko ya uongozi wa juu wa chama mara tatu tangu kiliposajiliwa mwaka '92! Kilianza na Edwin Mtei (m/kiti) na Bob Makani (katibu), halafu Bob Makani (m/kiti), na Kaburu (katibu). Sasa ni Mbowe na Dr Slaa. Mabadiliko waliofanya ccm ni kitu cha kawaida tu kwa chadema! Kuhusu Makamba kuchaguliwa tena mimi kama mwanachama wa upinzani nimefurahi. Anasaidia kuiporomosha ccm kwa kuwaonesha wananchi the true colour of what ccm is! Hii itasaidia upinzani kuimarika.