Makamanda Wvua Magwanda

Makamanda Wvua Magwanda

Huko ccm anaenda kupata cheo gani au anakuwa mwanachama wa kawaida
 
Kinana angepata uhakika wa umati huo, angerudi kugombea ubunge Arusha. Tumeona picha ila tunajua mchezo uliofanywa mkaupata huo umati. Endeleeni kujifurahisha, mpaka Oktoba
 
Aliyekuwa Katibu Mwenezi Kata ya Olorien,mkoani Arusha kupitiaa chama cha CHADEMA,Prosper Mfinanga akivua sare za chama chake kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo,akiashiria kukihama chama hicho na kuhamia chama cha CCM,ambapo pia alikabidhi kadi yake ya awali kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na kukabidhiwa kadi mpya ya chama hivyo.
View attachment 236618

siasa mchezo mchafu
 
kajamaa kenyewe kana afya mbovu mkono kama ubapa wa mwiko.Huko CCM kanafata shibe tu ngoja akale akishiba atarudi nyumbani
 
Back
Top Bottom