Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 2,064
Ni tahadhari tu kutokana na yanayoendelea nchini. Ben + Lema + Max na yanayoendelea Znz iwe mifano hai kwenu. wanataka kusikia positive side tu. Na Mimi najipa moyo kwa sababu taarifa zangu kwenye JF wamenihakikishia kuzificha wasinifaham. Take care makamanda we still need you. Hii nchi sasahivi ni ya makada tu. believe me or not kama wewe sio kada unaangaliwa kwa jicho tofauti.