Makamanda wa IRGC wauawa huko Lebanon

Makamanda wa IRGC wauawa huko Lebanon

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,435
Reaction score
6,518
Makamanda wanne wa IRGC wauawa huko Lebanon walijifanya waandishi wa habari kumbe ni magaidi kutoka Iran. Walikuwa huko kuwasaidia magaidi wa Hezboullah.

IMG_20260328_184125_232.jpg
IMG_20260329_181629_307.jpg
IMG_20260329_181628_773.jpg
 
Makamanda wanne wa IRGC wauwawa huko Lebanon walijifanya waandishi wa habari kumbe ni magaidi kutoka Iran. Walikuwa huko kuwasaidia magaidi wa Hezboullah
Waandishi wa habari watatu NI KWELI wameuwawa huko Lebanon kwa ndege vita za Israel zilizowalenga kwa makusudi kabisa. Hivyo hii taarifa yako inapotosha kabisa
unfurl="true"]https://www.cnn.com/2026/03/28/middleeast/lebanese-journalists-killed-israel-hezbollah-latam-intl[/URL]

JamiiForums
Huyu mtu ana misinformation nyingi sana, inatakiwa mchukue hatua it's too much
 
Kuna choko kaposti halafu kakimbia na posti yake
 
Makamanda wanne wa IRGC wauwawa huko Lebanon walijifanya waandishi wa habari kumbe ni magaidi kutoka Iran. Walikuwa huko kuwasaidia magaidi wa Hezboullah
We msafisha vyoo uwe unasoma kwanza uelewe wapi walikuwa vitani? Ushahidi wako uko wapi hao inawezekana kweli wako kwenye embassy kule Lebanon kutokana na hizo picture zimeandikwa hao sita wako Embassy sabsbu kwenye embassy yoyote dunia ya nchi kuna kuwa na sehemu ya military staff na Israel alidai atashambulia Embassy na Iran alisha muambia akigusa Embassy na yeye ajitayarishe kupokea kipigo cha hivyo hivyo

We tatizo lako umaleta sana propoganda za Israel humu.
 
We msafisha vyoo uwe unasoma kwanza uelewe wapi walikuwa vitani? Ushahidi wako uko wapi hao inawezekana kweli wako kwenye embassy kule Lebanon kutokana na hizo picture zimeandikwa hao sita wako Embassy sabsbu kwenye embassy yoyote dunia ya nchi kuna kuwa na sehemu ya military staff na Israel alidai atashambulia Embassy na Iran alisha muambia akigusa Embassy na yeye ajitayarishe kupokea kipigo cha hivyo hivyo

We tatizo lako umaleta sana propoganda za Israel humu.
Hahahahahaaaaa inakuuma Allah na mudi kubondwq😆😅🤣😂
 
We msafisha vyoo uwe unasoma kwanza uelewe wapi walikuwa vitani? Ushahidi wako uko wapi hao inawezekana kweli wako kwenye embassy kule Lebanon kutokana na hizo picture zimeandikwa hao sita wako Embassy sabsbu kwenye embassy yoyote dunia ya nchi kuna kuwa na sehemu ya military staff na Israel alidai atashambulia Embassy na Iran alisha muambia akigusa Embassy na yeye ajitayarishe kupokea kipigo cha hivyo hivyo

We tatizo lako umaleta sana propoganda za Israel humu.
Hawa waliuliwa kama waandishi wa habari baadaye Iran ikatoa matangazo na picha zao kumbe walikuwa Makamanda wa IRGC!! safari mtanyooka tu maana hakuna namna nyingine!!
 
Kenge wewe acha uzushi mlio uwa ni mwanamke na wenzake tena wamemlenga maksudi kabisa yeye na wenzake walikuwa live wanarusha habari



View: https://youtu.be/G6-E53jZU2I?si=KhXBGWuJatBwKE0t


View: https://youtu.be/sDIkON1_hQk?si=1WstF4xTjpPPt0J3

Hata huyo Malaya hakuwa mwand8shi wa habari huyo ni gaidi kama magaidi wengine kajificha kwenye Joho la uandishi wa habari bahati nzuri kajulikana ndiyo hivyo tena kauwawa!!

Sasa tujulishe huyo kwa sababu ni mwanamke atapata nini? Maana kwa mwanaume mnadanganyana atapewa mabikira 72 kutuaminisha kuwa akili za Wafuga midevu na majini zinawaza NGONO tu!!
 
Hata huyo Malaya hakuwa mwand8shi wa habari huyo ni gaidi kama magaidi wengine kajificha kwenye Joho la uandishi wa habari bahati nzuri kajulikana ndiyo hivyo tena kauwawa!!

Sasa tujulishe huyo kwa sababu ni mwanamke atapata nini? Maana kwa mwanaume mnadanganyana atapewa mabikira 72 kutuaminisha kuwa akili za Wafuga midevu na majini zinawaza NGONO tu!!
Hahaha wewe umeisha changanyikiwa nenda kawasaidia Wayahudi 210,000 inasemekana wako hatarini kukata roho kwenye sehemu zilizo pigwa na Iran leo haswa zile chemical factors


View: https://youtube.com/shorts/n5xsWyCdl98?si=_xLmllYN4B_BoxFZ


Mwenzako Trump yupo hoi


View: https://youtu.be/wQWMmU_dPIU?si=4sPlNyJgjQPEor2D


Hivi mwenye akili atasema hawa kweli vipenzi vya Mungu hahaha tukiwambia ukristo ni upagani mnabisha.

Taifa la mungu teule wakikristo hilo


View: https://youtube.com/shorts/d_Khvqjxm4g?si=l3KQPIXQc4JP99Nh

Pitia hapa pia Iran ni moto mpaa superpower wenu amekimbilia jificha hotelini


View: https://youtu.be/Wv9pyt-Vu0I?si=ZzSx9mx-rkcfDq3D
 
Huyu jamaa ndio kinara wa fake news humu JF na sielewi kwanini hajawahi pigwa ban.
Wewe kwa nini hupigwi Ban kwa fake news unazotuletea humu? Au kwa sababu unajuana mods?

Washawishi basi mods wanipige Ban maana wewe hakuna asiyekujua kuwa wewe ni Mmbeya wa JF kila ukiwaambia mods wanatekeleza.

Ulituaminisha Netanyahu kafa kwani ulichukuliwa hatua gani?
 
Ulituaminisha Netanyahu kafa kwani ulichukuliwa hatua gani?
Unaweza thibitisha hili? Post zangu zipo wazi itafute niliyosema hayo. Usinilishe maneno bwana mdogo.
Wewe kwa nini hupigwi Ban kwa fake news unazotuletea humu? Au kwa sababu unajuana mods?
Sijuni na mod yoyote, huwa post zangu naweka reference niambie lini nimefanya mjadala nikaweka fake news hapa?
 
Back
Top Bottom