Mkuu wewe ni GT mzuri kabisa jibu hoja kwa hoja.Hivi ni lini na wapi ulisikia utetezi wa Mh.Lowassa juu ya Richmond?
Hukumu siku zote kwa kusikiliza pande zote mbili,sina hakika kama utakuwa umenielewa.Ila namaanisha ili mtu awe mtuhumiwa ni juu ya mamlaka kumfungulia jalada na kufanya chochote juu yake kwa mujibu wa sheria lakini mpaka leo hilo halipo.
Hivi uoni kwamba mtu huyu ni Innocent aliyewaokoa watu wake na gharama za kurudia uchaguzi..?
Mtu huyu angelikuwa ni fisadi angeliwachongea wenzake na yeye kuwa mkuu wa Nchi enzi ile lakini hakufanya hivyo sababu ya uadilifu wake.
Mnapoleta thread kama mtegemee kuwa na watu wenye mitazamo tofauti,hivyo hoja za matusi,kejeli na dhihaka hazifai.