THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Kikosi kazi maalum kikiongozwa na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Ndgu Japhet Sironga, Katibu wa CHADEMA Wilaya Ndugu Thomas Kilongola na Mwenezi Chadema wilaya Ndugu Patrick Ngala OleMong'i wamefanikiwa kuwaondoa wananchi wa Moita Bwawani (Ndidai) katika makucha ya Mafisadi wa CCM na kuwaweka katika Taa yenye Nuru ya Ukombozi CHADEMA na kuwapatia kadi zaid ya wanachama wapya 760 waliofika katika hadhara hiyo wakiwamo waakina Mama,Wazee (Laibon) Na Vijana (Or murani+Nyangulo) Huku mabalozi zaidi ya 21 wakikabidhi kadi na vifaa MbaliMbali vya CCM.
Huku Mwenyekiti akinukuuu Kauli ya Mwalimu Nyerere Kuhusu Lowassa: NEC Dodoma 1995 na kuwaasa wanamoita wasirubunike tena na wasonge mbele kwa kasi ya kusimamisha wenyeviti wa vijiji na vitongoji
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu.
Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike.
Uchunguzi ukafanyika na ikabainika kwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa.
Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu." - Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
Ahsante sana Wanamoita kwa kuhitaji ukombozi huku mkigharamika kwa kuweka mafuta kwenye gari kufika mpaka hapo na kuwalipa waandish wenyewe kweli mmeamua mabadiliko Tu pamoja sana.
Pipoooooooooooooooooooooooooooooooz
Huku Mwenyekiti akinukuuu Kauli ya Mwalimu Nyerere Kuhusu Lowassa: NEC Dodoma 1995 na kuwaasa wanamoita wasirubunike tena na wasonge mbele kwa kasi ya kusimamisha wenyeviti wa vijiji na vitongoji
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu.
Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike.
Uchunguzi ukafanyika na ikabainika kwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa.
Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu." - Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
Ahsante sana Wanamoita kwa kuhitaji ukombozi huku mkigharamika kwa kuweka mafuta kwenye gari kufika mpaka hapo na kuwalipa waandish wenyewe kweli mmeamua mabadiliko Tu pamoja sana.
Pipoooooooooooooooooooooooooooooooz