Makamanda Endeleeni Kutoa Ada za Uanachama

Leo umeandika kama Paschal Mayala wa Ikulu 2016 na siyo chawa wa 2024, kimsingi Mbowe hawezi kuitoa CCM lakini Lisu kwa support ya watanzania anaweza, sasahivi CCM wanapambana Mbowe arudi madarakani akawe kama Lipumba hawana tatizo naye.
 
Makamanda niliwaambia jana kuwa tunapiga ada zenu za uanachama hapa nyumbani kwa mjomba wangu nyie mkabisha, sasa leo mmethibitisha nyumbu wakubwa nyie. Na kuanzia kesho kafanyeni kazi kama punda mkipata hela mje mlipie kadi za uanachama tuendelee kula bata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…