Mkuu we mwana Temeke nini? Maana ilo jina (Mabwenga) umeni kumbusha enzi naanza kubarehe nilikua nakwenda kujifunzia pale Sudani, huwa nasisimka nikilisikia hilo jinaHebu na huku kwetu tujaribu kufanya utafiti, huenda tukavunja rekodi, hebu turejee enzi za mabwenga hapa jijini Dar... LOL
just imagine vibibi hivo vimeliwa tigo jamani
Kwani alie kwambia kahaba lazima aliwe tigo ninani?just imagine vibibi hivo vimeliwa tigo jamani
Nawe kuacha umalaya ndio makubwa hayo?Duuu.Makubwa.
Kwani alie kwambia kahaba lazima aliwe tigo ninani?
Usiji ongopee wewee! Hapo ndio ina noga uspime, kwanza inakua kavuu huitaji kufuta wala nini pili inakua ndogo kama yamtotoNadhani hawana ladha tena
Pakavuuuuu, uspimeAti?........sipati picha pakoje uko
Wengi sana nikiku tajia kwa majina nita vunja heshma ya biashara yao, ila amini hivyo kuwa siikila kahaba lazima aliwe tigoWewe unamjua kahaba gani asiyetoa Tigo?
ujahesabu wateja waliorudia mara mbili au tatu9 kwa siku?.....
na hapo mfanya mahesabu akitoa zile siku muhimu kadhaa kwa mwezi, na muda ambao walikuwa maternity leave basi ngoma inaweza ikagota 15 kwa siku.......
sipati picha hata kama ndo kazi,,,,,,,,:nono:
kuufanya tu ni makubwa..sasa hapa hadi wamezeeka nao afu wanajisifia ..we unaona madogo haya?Nawe kuacha umalaya ndio makubwa hayo?
ngoja hiyo movie itoke .unaweza kukuta k inalipa sananingependa kujua mali walizochuma ili tuone 'value for money'
manake kama wamechakaza k kwa manufaa probably it worth it
MAPACHA wenye umri wa miaka 70 nchini Amsterdam, Uholanzi, wameamua kustaafu kazi yao ya ukahaba baada ya kuifanya kwa miaka 50. Mapacha hao Louise na Martine Fokkens wameamua kustaafu baada ya umri kuwatupa mkono na kudai kuwa kwa sasa hawapati wateja. ...
Louise na Martine wamelala na jumla ya wanaume takribani 355,000, kila mmoja akiwa amejivinjari na wastani wa wanaume 177,500 kwa kipindi cha miaka 50, ambapo kwa mwaka mmoja kila mmoja alikuwa analala na wanaume 3,550 sawa na wanaume 295 kwa mwezi na kwa siku wanaume 9.
Mapacha hao ambao wanadaiwa kuwa makahaba wenye umri mkubwa zaidi jijini Amsterdam, walianza kazi hiyo wakiwa na umri wa miaka 20. Mapacha hao ni wazazi wa watoto saba, Louise akiwa na watoto wanne, na Martine yeye ana watoto watatu.
Mapacha hao ambao walikuwa wakipenda kuvaa sare ya nguo nyekundu walitoa Filamu ya simulizi za kweli iitwayo 'Meet the Fokkens' na wanatarajia kutoa kitabu kitakachoelezea safari yao katika biashara ya ngono