Makadirio ya mapato ya Askofu Gwajima

lugha gani ya ajabu niliyotumia!! nilivyom-adress...ndivyo alivyo! mtu ambaye masaa 24 yuko busy kufatilia habari za wengine na kuanza kuhukumu bila prove..anaitwaje? kama sio mmbea!
Ndo Ukristo huo?? Hizo lugha unazotumia??
 
Ohooooo! Haaaa! Nicheke bint wa Yesu! Haya mipovu yote hiyo ya nini?? mara ukimwi..nini sasa! unautaka? kwa njia zako hizo..utaupata tu!…halafu kama umechanganyikiwa hivi? Nimewagusa pabaya eeh?? Kwani uongo? Sema, hiyo kashfa haipo? Eti sijui historia ya katoliki…itanisaidia nini? maana kama ni kwenda mbinguni njia ni Yesu wala si dhehebu lolote! Aibu zako unayeabudu dhehebu
 

Wajinga na wafuasi wa kibwetele
ndo waliwao.
 
Last edited by a moderator:
Kodi yake kwa mwaka huyu kule TRA ni kiasi gani? Au kasamehewa hastahili kulipa kodi? Na yule mjenzi wa Uwanja wa ndege Chato naye kishalipwa 341 billion na Serikali kishalipa kodi TRA au yatakuwa yale yale ya Lugumi ya kukwepa kodi?

 
Unapoyasema ya Gwajima, anza kwanza na ya unakoswali wewe mwenyewe. Haifai kumsema mtumishi wa Mungu wakati tunajua kuwa yupo pale kwa wito wake. Mbona tunaona wengine wakipewa misimbazi mkononi bila kuambiwa ni kiasi gani alipewa??
Kama vip nawe kaanze kanisa lako upewe ka huyo. Hakuna aliyesema kuwa alienda kumwomba ampe maujanja akamfukuza. Kama waidhani ni biashara laini kaanze nawe kanisa lako.
Waacheni watumishi wa Mungu.
 
Maandiko ya Neno la Mungu yanamruhusu mtumishi kuishi kwa kuitegemea madhabahu.
Nilichokuwa natamani ni kuona na yeye akirudisha kwa jamii hapo Huduma Fulani kama sadaka yake kwa Mungu.
T.B Joshua wa Nigeria ananta hivyo kielimu, afya,wakimbizi etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…