Makada wa CCM wakilima

Makada wa CCM wakilima

Dingswayo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
4,019
Reaction score
2,931
Hii picha ni kama ya kuigiza vile kwa kuwa kuna watazamaji wanawashangaa waliosimama nyuma. Hii ndiyo tafsiri yangu.
ccm.jpg
 
Inanikumbusha Nyerere alivyokuwa akishiriki katika kilimo (na shughuli zingine za maendeleo). ilikuwa ni kushiriki hasa wanafiki waliokuwepo walikuwa wanaipata kweli kweli kwani walilazimika kufanya kazi hasa kufikia kiwango alochokuwa akitenda. Haikuwa kwa ajili ya kupiga picha za propaganda.
 
Unafiki Mbaya sana kweli mtu anayekwenda kulima anavaa hivi wapi umeona. Wacheni kucheza na akili za watanzania watanzania wa sasa sio wale wa mwaka 47. wanawaangalia tu majibu 2015
 
Unafiki Mbaya sana kweli mtu anayekwenda kulima anavaa hivi wapi umeona. Wacheni kucheza na akili za watanzania watanzania wa sasa sio wale wa mwaka 47. wanawaangalia tu majibu 2015

huu ni mfano tu. usitokwe povu. nyie nendeni kwenye maandamano ya kuipongeza kamati kuu.
 
Wanafiki wakubwa! vueni hizo gwanda pigeni jembe kisawasawa, mnashika jembe ili mpigwe picha za kuuzia kipeperushi chenu cha chama 'uhuru' na kupost kwenye mitandao ili kuwapumbaza wadanganyika!
 
Back
Top Bottom