KOBA.....Usifanye mchezo whether wananchi hawaelewi au wanaelewa ukweli ni kwamba hawana ardhi, na wanaona ardhi nyingi nzuri inachukuliwa na wazungu. na pia kwa msaada kwa watanzania wenzako weka hizo sheria apa.yaani ukisoma mawazo ya wengi humu unasikitika sana,sijui hata kama mnaelewa utaratibu wa ardhi au ni ushabiki tuu? pls pls kabla ya kuja kutoa moshi wenu humu jaribuni kufanya research kidogo tuu mjue utaratibu na sheria zilizotumika kuwauzia ardhi hao watu,acheni fearmongering zenu as if nchi kama ndio imeshauzwa vile,yaani debate nzima imejaa story za mtaani tuu zisizo na ukweli wowote...sick sick sick!!!
hakyanane Wameru hatuna chetu! Mwaka huu cjui tutakata migomba tena au! Mimi naona tuwakate wavamizi na siyo migomba maana tunaonekana majuha!sio upande wa maua bali halmashauri imeshatangaza kuuza viwanja lakini bei yake hakuna mtanzania wa kawaida ataweza kununua hata wameru wanaozunguka eneo hilo.
vile viwanja kule burka vilivyoleta mushkeri, maeneo hayo hayo makaburu wameanzisha kijiji chao.
Kuna eneo kubwa sana kama vijiji viwili hivi, makaburu wamepewa viwanja na wamejenga. Hebu mswahili sogelea ardhi uone.
Hivi ni kwa nini mtanzania akitaka ardhi hawezi kupewa??
Kwani zamani wazee wetu walipataje ardhi??
Kuna utaratibu gani kwa watanzania wasio na ardhi kupata ardhi ya kuishi (residential) au kulima.
Kama vijana wanazurura mijini kama wamachinga, watapata wapi ardhi ya kulima au makazi.
Dawa ni kuwaunganisha wamachinga na kuvamia wageni waliopewa maana viongozi wanawauza wananchi ndani ya nchi yao.
Kinacho shangaza ni kwamba sheria yetu hairuhusu raia wa kigeni kumiliki ardhi lakini ukweli ni kwamba wageni wanaomiliki ardhi kwa sasa ni wengi kuliko maelezo, sio Burka tu kwa Arusha bali hata Usa River/Maji ya chai.. hivi hii serikali ipo kweli au hua inajionyesha tu kwenye chaguzi kuilinda ccm kwa kuonea wananchi?Vile viwanja kule burka vilivyoleta Mushkeri, maeneo hayo hayo Makaburu wameanzisha kijiji chao.
Kuna eneo kubwa sana kama vijiji viwili hivi, makaburu wamepewa viwanja na wamejenga. Hebu mswahili sogelea ardhi uone.
Hivi ni kwa nini Mtanzania akitaka ardhi hawezi kupewa??
Kwani Zamani wazee wetu walipataje Ardhi??
Kuna utaratibu gani kwa watanzania wasio na ardhi kupata ardhi ya kuishi (residential) au kulima.
Kama vijana wanazurura mijini kama wamachinga, watapata wapi ardhi ya kulima au makazi.
Dawa ni kuwaunganisha wamachinga na kuvamia wageni waliopewa maana viongozi wanawauza wananchi ndani ya nchi yao.
Vile viwanja kule burka vilivyoleta Mushkeri, maeneo hayo hayo Makaburu wameanzisha kijiji chao.
Kuna eneo kubwa sana kama vijiji viwili hivi, makaburu wamepewa viwanja na wamejenga. Hebu mswahili sogelea ardhi uone.
Hivi ni kwa nini Mtanzania akitaka ardhi hawezi kupewa??
Kwani Zamani wazee wetu walipataje Ardhi??
Kuna utaratibu gani kwa watanzania wasio na ardhi kupata ardhi ya kuishi (residential) au kulima.
Kama vijana wanazurura mijini kama wamachinga, watapata wapi ardhi ya kulima au makazi.
Dawa ni kuwaunganisha wamachinga na kuvamia wageni waliopewa maana viongozi wanawauza wananchi ndani ya nchi yao.
Mkuu Nape achana na hawa viwavi wa cdm huna cha kujibu kwenye hii thread