eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,497
- 13,594
Ni kweli kabisa, Arusha ina makaburu na watu wa mataifa mengine wengi kuliko mikoa mingine ya Tanzania.....utaona wengine wanazurura mitaani kama waswahili wengine.....
Labda wawe wamemilikishwa ardhi kwa ajili ya uwekezaji kupitia TIC (derivative right) vinginevyo ni kosa kwa mtu ambaye si raia wa nchi hii kumilikishwa ardhi.........
Lakini makaburu wengi wametumia ujanja wa kuoa waswahili......wengi wameoa mabinti wa akina Laizer, Mollel, Sarakikya, Mushi etc.......
Ukiangalia kwa undani.....wengi wamepewa maeneo kwa ajili ya uwekezaji......lakini hawajawekeza kitu......sasa nashangaa hizo certificate of incentive za TIC zinakaguliwa????? maana inatakiwa wawe wameandaa project progress report......kila baada ya miaka 3 na kuipeleka TIC na TIC wana wajibu wa kukagua miradi katika ardhi hizo (za wawekezaji) kama yanaendana na kile kilichoko kwenye miradi hiyo... lakini sidhani kama hicho kinafanyika......
Labda wawe wamemilikishwa ardhi kwa ajili ya uwekezaji kupitia TIC (derivative right) vinginevyo ni kosa kwa mtu ambaye si raia wa nchi hii kumilikishwa ardhi.........
Lakini makaburu wengi wametumia ujanja wa kuoa waswahili......wengi wameoa mabinti wa akina Laizer, Mollel, Sarakikya, Mushi etc.......
Ukiangalia kwa undani.....wengi wamepewa maeneo kwa ajili ya uwekezaji......lakini hawajawekeza kitu......sasa nashangaa hizo certificate of incentive za TIC zinakaguliwa????? maana inatakiwa wawe wameandaa project progress report......kila baada ya miaka 3 na kuipeleka TIC na TIC wana wajibu wa kukagua miradi katika ardhi hizo (za wawekezaji) kama yanaendana na kile kilichoko kwenye miradi hiyo... lakini sidhani kama hicho kinafanyika......