Vile viwanja kule burka vilivyoleta Mushkeri, maeneo hayo hayo Makaburu wameanzisha kijiji chao.
Kuna eneo kubwa sana kama vijiji viwili hivi, makaburu wamepewa viwanja na wamejenga. Hebu mswahili sogelea ardhi uone.
Hivi ni kwa nini Mtanzania akitaka ardhi hawezi kupewa??
Kwani Zamani wazee wetu walipataje Ardhi??
Kuna utaratibu gani kwa watanzania wasio na ardhi kupata ardhi ya kuishi (residential) au kulima.
Kama vijana wanazurura mijini kama wamachinga, watapata wapi ardhi ya kulima au makazi.
Dawa ni kuwaunganisha wamachinga na kuvamia wageni waliopewa maana viongozi wanawauza wananchi ndani ya nchi yao.
Kuna eneo kubwa sana kama vijiji viwili hivi, makaburu wamepewa viwanja na wamejenga. Hebu mswahili sogelea ardhi uone.
Hivi ni kwa nini Mtanzania akitaka ardhi hawezi kupewa??
Kwani Zamani wazee wetu walipataje Ardhi??
Kuna utaratibu gani kwa watanzania wasio na ardhi kupata ardhi ya kuishi (residential) au kulima.
Kama vijana wanazurura mijini kama wamachinga, watapata wapi ardhi ya kulima au makazi.
Dawa ni kuwaunganisha wamachinga na kuvamia wageni waliopewa maana viongozi wanawauza wananchi ndani ya nchi yao.