Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,826
- 1,045
Nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, WAHA, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza K) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.
...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi Tz.
wewe ni ni mk....ndu kweli ,umetumia takwimu za mwaka gani kuharisha hapa? Hakuna cha kupiga hatua wala nini, kama una tabia za kishenzi lazima uchanwe! By the way unaonekana shule ndogo kichwani na hujitambua, je kwa sasa umeshafanya utafiti ukagundua hapa tz kwa sasa ni kabila hizo tu ndio ziko juu kama unalivyohara hapa? Acha upuuzi na ujinga, jipange upya
nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, waha, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza k) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.
...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi tz.
hasira,matusi ,kejel za nn!jadiil uz,kama hujapenda potezea lakn kama una faham kadanganya weken sawa record
stupid topic, irrelevant,non-logical, smells of tribalism
Nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, WAHA, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza K) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.
...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi Tz.
1.mkuu ukitaka kujua sifa za wahaya...penda sana kutembelea tandika kwa wahaya,mwananyamala kwa wahaya maeneo ya hospitali,buguruni kwa wahaya,manzese kwa wahaya,kimara kwa wahaya,kigamboni kwa wahayaa
2.ukitaka kujua sifa za wachaga penda sana kutembelea guest na bar za sinza, kimara,manzese,mbezi beach,tabata na maeneo yote jijini wanapouza kitimoto na mbege.......
3ukitaka kujua sifa za wanyakyusa penda sana kusali makanisa ya morovian, kkkt na pia penda sana kupita maeneo yanauzwa mchele
4.ukitaka kujua sifa za wapemba...penda sana kunywa supu ya pweza, kunywa supu ya ulojo,na kunywa juisi za kupimaa....
5.ukitaka kujua sifa za watu wa pwani...penda sana kukaa vijiwe vya kahawa na vijiwe vya kubishana mambo ya dini
6.ukitaka kujua sifa wakurya....nenda kapange chumba maeneo ya ukonga banana na kitunda.....
7.UKITAKA KUJUA SIFA ZA WAPARE ....PENDA SANA KUSALI SABATO.....
8UKITAKA KUJUA SIFA ZA WATU WA KUSINI...KAPANGE CHUMBA MBAGALA,TANDIKA. MTONI KIJICHI. MTONGANIII TEMEKE.....
We mshamba usijimbweleshe kinanihino,tembea kwanza na ukutane na vichwa!au mtumbwi umeshagoa ndio basi,KAULIZE MIKOA KUMI MASIKINI usipotajiwa na kwa wahaya basi fanya sherehe.
Mzee ES,
Nasikitika sana sikuwepo ktk mkutano huo na sababu kubwa ni kwamba sisi wenyewe hapa tulikuwa na kijimkutano chetu ktk kuanzisha upya jumuiya ya Watanzania.
Aliyosema Tausi ni habari zinazovuma North America na hakika hata mimi nimejaribu sana kupata habari hizi kwa kirefu lakini imekuwa shida. Vijana wengi naofahamiana nao hawakwenda. Habari za Bush kukutana na JK, kusema kweli nimeziona tu ktk magazeti ya Bongo. Sijaona hata artical moja toka gazetini, tovuti wala radio inayosema hivyo zaidi ya Dick na C. Rice.
Tausi,
Umezungumzia kuhusu Mkapa, sijui kama umesahau kwamba ni JK akiwa kama waziri wa mambo za nje ndiye alikuwa akijibu sana maswali ya Mkapa. Mkapa mwenyewe jeuri na mara nyingi alijiepusha hasa nchi za nje.
Kusema kweli Tausi nadhani mimi nitasikitishwa sana na nyie kwa sababu hamkujiandaa.. JK hawezi kujibu maswali ambayo hayakuulizwa. Rais yupo pale kusikia wewe matatizo yako na kuyawakilisha kwa wahusika! nadhani mlitakiwa kudondosha swala la Uraia wa nchi mbili...