Makabila na tuhuma zao

Chagga King

JF-Expert Member
Jul 6, 2011
1,823
1,033
Nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, WAHA, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza K) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.

...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi Tz.
 
Nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, WAHA, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza K) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.

...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi Tz.

wewe ni ni mk....ndu kweli ,umetumia takwimu za mwaka gani kuharisha hapa? Hakuna cha kupiga hatua wala nini, kama una tabia za kishenzi lazima uchanwe! By the way unaonekana shule ndogo kichwani na hujitambua, je kwa sasa umeshafanya utafiti ukagundua hapa tz kwa sasa ni kabila hizo tu ndio ziko juu kama unalivyohara hapa? Acha upuuzi na ujinga, jipange upya
 
wewe ni ni mk....ndu kweli ,umetumia takwimu za mwaka gani kuharisha hapa? Hakuna cha kupiga hatua wala nini, kama una tabia za kishenzi lazima uchanwe! By the way unaonekana shule ndogo kichwani na hujitambua, je kwa sasa umeshafanya utafiti ukagundua hapa tz kwa sasa ni kabila hizo tu ndio ziko juu kama unalivyohara hapa? Acha upuuzi na ujinga, jipange upya

We ndo kitasa na majibu yako ya kikimba tuuu,uspoongelea hayo makabila bongo hiii utaongelea yap tenaaa?au umeumiabbaaada ya kikabila chako cha watu ishirin kutotajwaaa?
Sema na ww mtoa uzi wote vitasa tu kuja vtu vya maaaana vnatakiwa kuongelewa ww unakuja na utumbobwko hapa,hzo mishe paleekeni facebook sawa ww mtoa mada na huyu pacha ako aliekujibu.
 
nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, waha, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza k) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.

...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi tz.

stupid topic, irrelevant,non-logical, smells of tribalism
 
hasira,matusi ,kejel za nn!jadiil uz,kama hujapenda potezea lakn kama una faham kadanganya weken sawa record
 
hasira,matusi ,kejel za nn!jadiil uz,kama hujapenda potezea lakn kama una faham kadanganya weken sawa record

Kujadili ujinga ? eti wachaga wezi, wahaya vicheche, ni mambo ya kijadili haya ?? Hili jukwaa hamlitendei haki kwa thread kama hizi
 
...matusi huwa hayana effect yoyote, coz kila mmoja anauhuru wa kusema chochote.
...subiri niliweke sawa hili suala, inaonekana hamjafahamu kwanini nimezungumza hayo, lengo langu kubwa ilikuwa ni kujua kwanini makabila fulani yana kashfa sana, na ndio makabila yaliondelea hata kama tukikataa. Ni kweli yapo makabila mengi lakini huwezi yataja yote wakati Tz kuna makabila kama 120.
...nafahamu umuhimu wa Jf, na ni kweli tupo karne ya 21, lakini haya haya yanatokea ndani ya karne hii, so kwanini tusiyajadili?

Jamani mimi nimezingatia mambo mawili hapa nchini na ndio mambo yaliyonifanya ku post hiyo mada hapo

1. Masuala ya siasa
2. Masuala ya Ajira.....nitaeleza...

SIASA...hivi karibuni tukielekea uchaguzi mkuu wa 2015, kumekuwa na vuguvugu za hapa na pale kwenye siasa, hasa CHADEMA, nyie wenyewe mtakuwa mashahidi maana hata humu kumekuwa na posts nyingi sana khs CDM, wenyekiti wengi wa chadema mikoani wamekuwa wakijiuzulu kwa kudai kwamba chama hicho ni cha wachaga, au watu wa kaskazini, kwa sababu kiongozi wao ni mtu wa kaskazini, wanasema hayo bila kuzingatia historia ya chama hicho kuwa kiliasisiwa kaskazini, pia bila kuzingatia kuwa chama hicho kinakubalika sana huko kaskazini kwa sababu CCM ilishapoteza dira maeneo hayo tokea miaka mingi, hata uchaguzi wa mwaka 1995 NCCR-mageuzi ikitikisa sana huko, na si kwamba ilikuwa inapendwa sana, ni kwasababu CCM haikutakiwa. Kwahiyo chama chochote cha upinzani maeneo hayo kingekuwa na nguvu kubwa.
...Kuna hayo na mengine mengi tu lakini sio kusema kuwa kile chama kinawabeba watu wa kaskazini, so hili suala anayesema kwamba hii ni karne y 21, hatutakiwi kuyazingumzia, yupo sawa kimtazamo wake lakini tunakoelea sio kuzuri maana kumekuwa na mtindo wa kunyoosheana vidole katika makabila.
2. KATIKA AJIRA, huku nako kumekuwa na maneno kama hayo na yamesambaa kweli kweli, kwamba kuna makabila ambayo wanawekana katika nafasi mbalimbali za kazi, maana kila ukienda kwenye vitengo mbalimbali ni lazima utakuta aina ileile ya makabila katikaa vitengo hivyo, lakini mimi nilotaka tujielekeze katika historia ya makabila hayo, ukitambua historia yao hasa ya kielimu wala hutolalama, wakati kilimanjaro ina sekondari 40. Kigoma ilikuwa na sekondari moja tu, huo ni ukweli ila kuna watu watapinga wakati walikuwa hawayafahamu hayo, pia kuna siku nilikuwa nafawafanyia usaili (interview) waomba kazi mahala flani hivi, kiukweli makabila yaliyokuwa na idadi kubwa ktk huo usaili ni hayo hapo juu, kama uamini siku ukiwa unafanya usaijili jaribu kufanya, utafiti.

Sasa baada ya kuona hayo ndio nikajaribu kuileta ili tujadili, maana tunaweza kuelewana na kuondoa hizo fikra zilizojengeka miongoni mwetu, na pia kuanza ku fight sisi kama sisi bila kuwa na yale mawazo kwamba mimi siwezi maana huko vitengoni wanajuana tu.
..tuache matusi maana hayajengi na wala hayabomoi thread.
 
stupid topic, irrelevant,non-logical, smells of tribalism

huyu mleta mada kanikasirisha mpaka natamani kufa, ninamiaka zaidi ya 30 tangu nizaliwe, lakini wengi zaidi ya 80% waliochangia katika mafanikio ya maisha yangu sio wa kabila langu wala familia yangu bali ni watanzania wenzangu! nawachukia sana wakabila
 
We mshamba usijimbweleshe kinanihino,tembea kwanza na ukutane na vichwa!au mtumbwi umeshagoa ndio basi,KAULIZE MIKOA KUMI MASIKINI usipotajiwa na kwa wahaya basi fanya sherehe.
 
Nilichogundua kabila flani likipiga hatua flan kimaendeleo litapewa sifa lukuki na nyingine hasa zile mbaya, mfano wanasema wanyakyusa, wahaya, wachaga wanaubinafsi, (wachaga wezi), (wahaya vicheche), (wanyakyusa wanaubinafsi a.k.a mwamwamwa) na tuiyaangalia makabila haya wamepiga hatua kimaendeleo ndo makabila yanayosifiwa kwa kujituma, pia kuelimika hata huko kwao ni kuzuri sana
....wasukuma ni kabila linalosifiwa kwa upole na ukarimu, lakini ndo kabila linaloaminika kwa kuwa na washamba wengi na wengi hawajaenda shule, WAHA, ni kabila ambalo pia lipo kwenye transition maana ni wachakarikaji lakini shule kwao ni tatizo, wao pia hawana shutuma nyingi zaidi ya kalumanzila na ubishi (wakina bulaza K) pia makabila ya pwani nayo pia yanaeleweka kwa kukaa vibarazani na kucheza bao, je tatizo ni kuelimika au tatizo ni kabila, tuache ukabila na tujadili kiuhalisia.

...jamani mimi msinihukumu kwa kuwa haya niliyoyasema ndo tunafahamu wote hivyo (watu wa social works wanaelewa) labda kama hauishi Tz.

1.mkuu ukitaka kujua sifa za wahaya...penda sana kutembelea tandika kwa wahaya,mwananyamala kwa wahaya maeneo ya hospitali,buguruni kwa wahaya,manzese kwa wahaya,kimara kwa wahaya,kigamboni kwa wahayaa

2.ukitaka kujua sifa za wachaga penda sana kutembelea guest na bar za sinza, kimara,manzese,mbezi beach,tabata na maeneo yote jijini wanapouza kitimoto na mbege.......

3ukitaka kujua sifa za wanyakyusa penda sana kusali makanisa ya morovian, kkkt na pia penda sana kupita maeneo yanauzwa mchele

4.ukitaka kujua sifa za wapemba...penda sana kunywa supu ya pweza, kunywa supu ya ulojo,na kunywa juisi za kupimaa....

5.ukitaka kujua sifa za watu wa pwani...penda sana kukaa vijiwe vya kahawa na vijiwe vya kubishana mambo ya dini

6.ukitaka kujua sifa wakurya....nenda kapange chumba maeneo ya ukonga banana na kitunda.....


7.UKITAKA KUJUA SIFA ZA WAPARE ....PENDA SANA KUSALI SABATO.....

8UKITAKA KUJUA SIFA ZA WATU WA KUSINI...KAPANGE CHUMBA MBAGALA,TANDIKA. MTONI KIJICHI. MTONGANIII TEMEKE.....
 
1.mkuu ukitaka kujua sifa za wahaya...penda sana kutembelea tandika kwa wahaya,mwananyamala kwa wahaya maeneo ya hospitali,buguruni kwa wahaya,manzese kwa wahaya,kimara kwa wahaya,kigamboni kwa wahayaa

2.ukitaka kujua sifa za wachaga penda sana kutembelea guest na bar za sinza, kimara,manzese,mbezi beach,tabata na maeneo yote jijini wanapouza kitimoto na mbege.......

3ukitaka kujua sifa za wanyakyusa penda sana kusali makanisa ya morovian, kkkt na pia penda sana kupita maeneo yanauzwa mchele

4.ukitaka kujua sifa za wapemba...penda sana kunywa supu ya pweza, kunywa supu ya ulojo,na kunywa juisi za kupimaa....

5.ukitaka kujua sifa za watu wa pwani...penda sana kukaa vijiwe vya kahawa na vijiwe vya kubishana mambo ya dini

6.ukitaka kujua sifa wakurya....nenda kapange chumba maeneo ya ukonga banana na kitunda.....


7.UKITAKA KUJUA SIFA ZA WAPARE ....PENDA SANA KUSALI SABATO.....

8UKITAKA KUJUA SIFA ZA WATU WA KUSINI...KAPANGE CHUMBA MBAGALA,TANDIKA. MTONI KIJICHI. MTONGANIII TEMEKE.....

ukitaka kujua tabia za wanyiramba, utembelee wapi ndugu???
 
eti kila mtu ana uhuru wa kusema, great thinker ina mipaka yake upumbavu wako kasemehe facebook
 
Kuna mambo mengi ya kujadili kwa maslahi ya Taifa. Nawashangaa mkitumia muda mwingi kujadili Upupuuuuuu.
 
We mshamba usijimbweleshe kinanihino,tembea kwanza na ukutane na vichwa!au mtumbwi umeshagoa ndio basi,KAULIZE MIKOA KUMI MASIKINI usipotajiwa na kwa wahaya basi fanya sherehe.

....nakubaliana na wewe, Kagera ni mkoa masikini kwa sababu wahaya wenyewe hawapapendi, na mara nyingi hupakataa kwao hasa wale wananotoka wilayani, wanajenga kwenye mikoa ya watu.
 
Mzee ES,
Nasikitika sana sikuwepo ktk mkutano huo na sababu kubwa ni kwamba sisi wenyewe hapa tulikuwa na kijimkutano chetu ktk kuanzisha upya jumuiya ya Watanzania.
Aliyosema Tausi ni habari zinazovuma North America na hakika hata mimi nimejaribu sana kupata habari hizi kwa kirefu lakini imekuwa shida. Vijana wengi naofahamiana nao hawakwenda. Habari za Bush kukutana na JK, kusema kweli nimeziona tu ktk magazeti ya Bongo. Sijaona hata artical moja toka gazetini, tovuti wala radio inayosema hivyo zaidi ya Dick na C. Rice.
Tausi,
Umezungumzia kuhusu Mkapa, sijui kama umesahau kwamba ni JK akiwa kama waziri wa mambo za nje ndiye alikuwa akijibu sana maswali ya Mkapa. Mkapa mwenyewe jeuri na mara nyingi alijiepusha hasa nchi za nje.
Kusema kweli Tausi nadhani mimi nitasikitishwa sana na nyie kwa sababu hamkujiandaa.. JK hawezi kujibu maswali ambayo hayakuulizwa. Rais yupo pale kusikia wewe matatizo yako na kuyawakilisha kwa wahusika! nadhani mlitakiwa kudondosha swala la Uraia wa nchi mbili...

...tatizo hajua what's the between the lines, soma kitu uelewe, eti great thinkers ina mipaka, inaa mipaka???
 
Utafiti usio rasmi watoto wengi wa sasa wamechanganya makabila zaidi ya moja hawa watakuwa na tuhuma zipi?
 
kaka unatufundisha tuogopane na tudharauliane au? Acha hizo usirudie hata kimyakimya ni hatari.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom