Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Mwakasege amesema hawazi kuacha huduma yake alipewa na Mungu na kuingia kwenye siasa japokuwa ccm wanamtafuta sana agombee Arusha.
Vua gamba vaa gwanda!
Hata mwakasege hawezi kuwa kwenye gamba linalo tenda kinyume na maamrisho ya mungu. Vinginevyo kama ni mwl wa uongo na mchumia tumbo. Hata yeye atavua gamba atavaa gwanda.