Majirani wanamcheka mpenzi wangu

Mapenz ni hisia juu ya mtu husika so kama unampenda na kumthamin huna haja ya kuona aibu wanavyomcheka mpenzio amin kuna cku hao hao watakusifu na huyo mpenzio na wataona wivu kabisa believe me my sister
We ni mmalila au jina tu mkuu?
 
Lucz usipate tabu sana, huyo jamaa yako bado anatafuta na ipo siku atapata mtaji wake na atafanya shughuri zake na atakuwa mtanashati.

Hii imenikumbusha yule jamaa aliyekuja humu akidai mpenzi wake anamcheka eti kisa anavaa minguo kama kwaya masta.
Jambo lingine kwa kuwa unampenda mshauri kama kuna kiasi chochote cha pesa mfunue biashara yenu maana mabosi nao si watu wazuri hasa hwa wanaoajili watu madukani hujipenda wao tu.

Jambo lingine amabalo nahisi huyu jamaa yako hamuendani aidha ki imri, mwonekano na hata kitabia ndio maana marafiki wanapomwona humkejeli.
Anyways unapaswa kuangalia kipi kinafiti moyo wako kwa raha zako mwenyewe
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sikujua km leo nikacheka hivi l
 
UMENIKUMBUSHA MBALI KDOGO MLETA MADA....tukiwa chuo mwaka 2012, nilibahatka kumpata mwenzi wa uchumba, nikampa mtego huo wa kujiweka rafu kimavaz kila awapo yeye(hakuwa mwanachuo)..alipopata fursa ya kwenda CHUO CHA UKUTUBI akawa hatak nimsogelee akiwa na marafki zake...nkajua hana ule UCHUMBA WA KUJIDHABIHU.....
ushauri kwenu, punguzeni UCHUMBA WA KIBONGO MOVIE...nendeni kwenye uhalisia
 
Au mwambie asiwe anakuja uwe unaenda wewe huko kwake.
Mi ningekuwa wewe ningeenda kwake siku moja nikapiga moto nguo zake zote za ovyo ovyo ili abakiwe na hizo nzuri tuone kama hatazivaa
[emoji23] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji23] [emoji23] operation tokomeza marapurapu
 
Nguo zilizo chanika tena?Huyu kweli gagulo lake halitoi uvundo mkuu?

Sidhani kama anafua chupi huyu ehehehe
 
Au ndo masharti ya dukani......?
 
Nguo zilizo chanika tena?Huyu kweli gagulo lake halitoi uvundo mkuu?

Sidhani kama anafua chupi huyu ehehehe
Mara zote mnatuona wanawake wachafu......huyo ni mwanaume na aliyeleta malalamiko ni mwanamke........
 
Ata usiumie moyo. Ilimradi moyo wako umeridhika kuwa na amani. Huyo ni mpenzi wako sio mpenzi wa majirani zako. Be ureself. Yawezekana wao wanamcheka lakini hawajui kaka/ baba wa watu kabeba nin. Pengine wanaona hana hela lakini hawajui hela inapatokana duniani. Leo wanamcheka kesho watapatwa na shida na pengine watashindwa ata sehemu ya kukopa hale mwisho wa siku watakuja kwakwo. Mbona kwenye jamii yanatokea sanaa tu. Mtu anakipato kikubwa na akipata shida anaenda kwa mwenye kipata kidogo. Ushauri wangu ni " sikiliza moyo wako unataka nini"
 
mbona mimi naenda kwa mupenzi nikiwa na kanda2 tena zimechoka mbaya usipime yani ila mwenyewe tu ananipenda nilivyo.
 
as long as unampenda wacheke mpaka waache wenyewe,huwezi kuwaridhisha binadamu hata siku moja....
 
Mara zote mnatuona wanawake wachafu......huyo ni mwanaume na aliyeleta malalamiko ni mwanamke........
Hapana sijawahi waona wanawake wachafu,lkn hii imezidi dada yaani hadi ndala zimekatika ehehehehe
 
Dawa ni kuwafungia vioo.

Mwishoni watakuja jiona wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…