Majirani wa kike sometimes hawasomeki.

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,195
Reaction score
14,370
Unakuta jirani wa kike sio mzuri sana wa kawaida tu si unajua kuna siku za kuzidiwa unajaribu kumuapproach jiran anakuwa mkali anakujibu hovyo kibingwa unakubali yaishe tu maisha yaendelee.

Siku umepata pisi yenyewe imekuja geto jirani anaanza kununa akisalimiwa anakaa kimya sasa jirani wa design hii unashindwa kumuelewa anataka nini nimekutongoza umenikataa nimepata demu unacatch sasa ulitaka nikae kinyonge bila kuosha rungu acheni hizo.
 
Ok sawa tushajua nawew una uwezo wa kuchakata papuchi..
 
Jirani yako alijiona Pipi, muache sasa ajilambe.

Be a Man, next time usilale na mwanamke ambae ni Jirani yako, Mfanyakazi mwenzako ofisini, Mfanyakazi wako.

Achana na hao wanawake kwa ustawi wa Afya yako ya Akili na Mwili.
 
Hao hawakutaki ila wanakuweka kwenye shortlist siku wakizidiwa halafu hawana option, wakutafute.

Sasa ukileta pisi kali unakuwa umeivuruga shortlist yao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mu approach tena , utanishukuru badae
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…