MAGEMBE ZACHARIA
Member
- Feb 9, 2013
- 12
- 2
Hicho kitu sijasikia
topic hiyo yenye hayo majina ilikuwepo hapa jf tangu mwaka jana, kuna wapuuzi waliifufua sasa vijana waliopo jkt wenye simu wakaiona bila kuangalia tarehe ikawapanikisha wote mpaka wengine mtaani, majina bado, yatatoka tu,
Kwan makosa huwa ni nin!!? Ata address ukikosea!?
daah..mwenyew nlsahau kusain ndani..na nipo makini kufuatilia ila taarifa kama hzo sijasikia na kila cku naingia website ya heslb lakn cjaona kama wametoa majina..