Majina ya Wahuni

Nauhusiwa kuwataja na Kamati Kuu ya chama fulani?🤣
 
Sio kweli.
 
Mbwiga
 
kuna vikundi vilitamba sana miaka fulani

●Askari wa motoni
●Majasusi
●atufagi un-deadable
●Kula urembo
●Makaburi matuta
●sura ya mbuzi
●mama yako demu wetu
●sisi sio kundi

2007

kula urembo lilikuwa ni kundi hatari
 
Komando Yoso

Nyanyapuza

Enzi hizo siku kukiwa na mchiliku lazima zipigwe na damu zimwagike
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ngoja nitaje majina ya bandia ya kitaani kwenu kwanza kabisaa huu mtaa ninaoishi vijana wengi ( tunatumia majina bandia ) sijui kwanini
  • mmea
  • monster
  • sungura
  • shundu
  • bung'aloo
  • dogi a.k.a niger j
  • kb
  • kidari
  • kichenge
  • chidi
  • ibirisi ( shacks )
  • kitulisa
  • uncle kidevu
  • kido
  • mc ngenge
  • mnefiri
  • nyama za kware
  • rasi
  • utiti
-chaka
  • dan babu
  • dacho
  • cdk
  • nyandu
  • montana
  • rama chogo
  • shacks
-zombie
-mkinga
  • bongo
  • chopa
  • bizzo
  • itona
  • kobi
  • pisi kali ( huyu ni demu ila ni mgumu asikwambie mtu )
  • masamurai
  • mbogo ( aka mheshimiwa )
  • mtundu
  • brea
-kido
-captain
  • simbamnyama aka fogo
  • kifrini
Eehhh aisee majina ni mengi na mbaya zaidi hata mgeni akija na kumuuliza mtu kwa jina lake la kiserikali basi uwezekano wa kumpata muhusika ni mdogo sana kama atakuwa hayajui hayo majina waliyojibatiza wahusika hapo juu..
 
Hapo namba 8 wanakuwa malaya sana warembo wa mtaa mzima ni mali yao 😄 Full kama T.I wa mamtoni 😄
 
Hii mbona kama unga limitedi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…