Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,108
- 2,553
- Thread starter
- #21
makamanda wa bavicha moshi vijijini ni moto wa kuotea mbali! magamba yataunguzwa vibaya sana na huu moto.
Ulitegemea moshi v wawepo wazulu?
Kwa nini waislam hawapendwi chadema?
hopelesss kabisa, ndio nyie mlio kalili mtwara kuna wamakonde tuuu.. wachaga tuuu ukabila hakuna chochote
Kwa nini waislam hawapendwi chadema?
Hivi Moshi wanaishi wachaga tu?
M/Kiti Godlisten Malamia,
Katibu Cyprian Minja,
Mwenezi Deo Mushi,
MhazinI Evans Mmasi,
Mjumbe mkutano mkuu Taifa Lucy Owenyi
Hivi Moshi wanaishi wachaga tu?
Unapoongelea moshi unaongelea chagga only pasipo na kabila lingine.
Hii timu naiamini sana. Pongezi kwa wote na mtuongoze kwenye ushindi kwenye chaguzi zilizo mbele yetu. Chaguzi za serekali na uchaguzi mkuu.
CHADEMA. Vema
Khaa!! Basi ajabu sana kuwa na kina kilewo, lema, kiwia, mushi, minja kama local leaders nje ya kilimanjaroTumia hata macho kufikiria kama akili hazijaamka. Lawama na kukosa kwingine kunakudhalillisha wewe na waliochangia katika kukua kwako. Kwa hiyo wewe ulitaka kina Kamugisha, Mwakingwe, Shiguna, Mwijuma, Mapunda na Kina Segito waende kuwa local leaders Moshi? Kama huna hoja ni bora kuduwaa kulilko kujidhalilisha na ushupavu!.
M/Kiti Godlisten Malamia,
Katibu Cyprian Minja,
Mwenezi Deo Mushi,
MhazinI Evans Mmasi,
Mjumbe mkutano mkuu Taifa Lucy Owenyi
Wachaga mwanzo mwisho tena wakristo.
Unapoongelea moshi unaongelea chagga only pasipo na kabila lingine.
wapare wanaishi wapi?