hii taarifa ni ya kweli mkuu? wapi chanzo ya hii taarifa?tarehe 22
kwenye site ya TCU kuna revesied almanachii taarifa ni ya kweli mkuu? wapi chanzo ya hii taarifa?
Hawa jamaa sjui wameenda kulaMajibu bado na leoo ndio siku waliosema watatangaza according ratiba yaoo mpaka sasa hakuna dalili yeyote
Source umepata wapi mkuuWanatangaza 26 sept
Subiri kwanza wanafunzi wa multiple selection wafanyiwe kazi ndo yatoke second selectionSource umepata wapi mkuu
Ratiba inasema 22sept 2018 inamaana walijua watakua wamemalzaSubiri kwanza wanafunzi wa multiple selection wafanyiwe kazi ndo yatoke second selection
Kuanza kuapply kwa awamu ya pili ilianza tarehe 10 sept ratiba inaonesha ilitakiwa iwe 6 sept walisha badilisha ratiba tangia mwanzoRatiba inasema 22sept 2018 inamaana walijua watakua wamemalza
Revised admission almanac ndo inavosema sasa inabidi wa revise tarehe tenaKuanza kuapply kwa awamu ya pili ilianza tarehe 10 sept ratiba inaonesha ilitakiwa iwe 6 sept walisha badilisha ratiba tangia mwanzo
unapata wapi access gani ya kuona hayo majina !?Mweny Haraka Aweke Namba Yake Ya Vi Na Mwaka Aliohitimu Nmchek
napata Tcuunapata wapi access gani ya kuona hayo majina !?
Muongo wewenapata Tcu
shauri Yako Wenzio Wanacheka2 Saizi Wwe Subir YachacheMuongo wewe
shauri Yako Wenzio Wanacheka2 Saizi Wwe Subir Yachache