logan007
Senior Member
- Nov 22, 2020
- 197
- 200
Habari wakubwa kwa wadogo.
Naona siku hizi utumishi kumekuwa na kawaida ya kuongeza majina ya wasailiwa kwenye interview zao.
Swali je hawa wanaongezwa ndio wenye koneksheni au ndio wale lete MILIONI MBILI upate kazi au ndio watoto na ndugu wa wafanyakazi wa UTUMISHI kule Dodoma?
Weekend njema.
Naona siku hizi utumishi kumekuwa na kawaida ya kuongeza majina ya wasailiwa kwenye interview zao.
Swali je hawa wanaongezwa ndio wenye koneksheni au ndio wale lete MILIONI MBILI upate kazi au ndio watoto na ndugu wa wafanyakazi wa UTUMISHI kule Dodoma?
Weekend njema.