Majina ya ‘majiin’

Ahhh Upo SAHIHI KWA IMANI YAKO.
LAKINI KWA IMANI YANGU HAUPO SAHIHI
Nani mapepo, nani Majini, unajichanganya Mkuu

Mungu kaumba, Malaika, Majini na Binaadamu pamoja na Wanyama..

Pepo, Ruhani ni miongoni mwa Majini sema wao wameokoka, ni wacha Mungu.
 
Sasa hivi wewe unafuga Mangapi muheshimiwa? Vipi huyo wa bibi nani kabaki nae
Bibi amefarilki zamani sana, lakini kwavile yule Jini, Bibi alirithi kwa Wazazi wake na yeye inabidi arithiwe na mtu mwengine

Jini ndie anaamua arithiwe na nani, bahati mbaya amekwenda kwa mtu mwengine sio mimi..

Jamaa aliemrithi huyo Jini yeye sio kama Bibi, yeye amejua kumtumia kwani jamaa ni Tajiri sana na anaendelea kutajirika..
 
Kuhusu kuwatoa majibu kanisani,si utapeli...

I did that myself,mara nyingi sana,tena kwa uwezo wa kukushika tu..na hilo dude chafu likatoka.
Unatumia uwezo wa Yesu au shetani, maana hilo jina lenyewe unalojiita "Zeus" ni Mkuu wa pepo. Unaombeaje kanisani huku mwenyewe unatukuza mapepo?
 
Tatizo kuna dini moja inakemea majini nyingine inawatambua majina kama masela wao a.k.a wana ambao hawastahili kutengwa.
 
"Jinni ana uwezo much far kuliko binadam"

Chief! Unao ushahidi wa hiyo sentensi hapo juu?
 
Tatizo kuna dini moja inakemea majini nyingine inawatambua majina kama masela wao a.k.a wana ambao hawastahili kutengwa.
Dini gani hiyo inayowakubali Majini?
Kuna dini badala ya Kumwabudu Mungu sehemu zao za Ibada zimekuwa viringe vya kuunga Mashetani
 
Majini yote ni ya kiislamu au majina ya kiislamu au kiarabu maana piga ua hakuna jini Mathew
 
Wewe ndo msanii kwa kuamini mashetani, Hakika jehannamu inakusubiri usipotubu
 
Hakuna tofauti baina ya mashetani, majini, na mapepo.
Mungu haabudiwi na na mashetani wala Majini halikadhalika mapepo enyi watu wa dini acheki kujidangaya maana jehannamu ipo ikiwa hamtatubu..
 
Tatizo kuna dini moja inakemea majini nyingine inawatambua majina kama masela wao a.k.a wana ambao hawastahili kutengwa.
Hapana mkuu tatizo linaanzia mbali,ukiangalia sifa za majini kwa inavyoelezwa kwenye dini moja ni tofauti na dini nyengine.

Huku tunaambiwa malaika waliyoasi ndio majini na kwa hivyo wana asili yao ni malaika kwahiyo hawazaliani hawana jinsia ila kwengine tunaambiwa malaika ni viumbe vilivyoumbwa na Mungu(na sio malaika waasi) na wana jinsia hivyo wanazaliana.

Sasa sijui kwanini iwe majini ndio malaika waovu?
 
Unatumia uwezo wa Yesu au shetani, maana hilo jina lenyewe unalojiita "Zeus" ni Mkuu wa pepo. Unaombeaje kanisani huku mwenyewe unatukuza mapepo?
Mkuu na wewe ni nabiidaniel??

Tusipende kuhukumu nakujiona safi kuliko mwingine.
 
Kweli usichikijua ni usiku wa giza. nyie wafuasi wa Ahmadiyya mnanishangaza sana. Jinni Tangu lini ikawa na maana ya mtu mwenye hadhi kubwa? Sasa kwanini basi hujasem hio aya (Sikuwaumba majini na binaadamu...) inazungumzia nyoka, bakteria au takataka? Wapi imetumika kumaanisha watu wakubwa wakubwa wasioonekana sana? Kaaaaazi kweli kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…