Mukamara, Nyangoma, Nyakato, Nyamwiza, Biandiko, Atugonza, Atusime, Mukebita nadhani imetosha ila usisahau kama ni wanawake watu wazima basi majina yao yanatanguliwa na Kijiheshima fulani. MA........, Mfano MAMukamara, MaKarungi, MaBiandiko, MaNyangoma. Ukikosea utapigwa kwenzi dunia nzima ka nyundo!