siku za karibuni kumekuwa na majina ya ajabu sana hapa JF na yanayofurahisha au kuchekesha...kama Nipigie;chapa nalo..via mobile .tzjamani, kaalamoto, 3D .mchekechoni, drphone,mtembeapeku lol! na mengine kibao ya kufurahisha
siku za karibuni kumekuwa na majina ya ajabu sana hapa JF na yanayofurahisha au kuchekesha...kama Nipigie;chapa nalo..via mobile .tzjamani, kaalamoto, 3D .mchekechoni, drphone,mtembeapeku lol! na mengine kibao ya kufurahisha
Sijui watu wenyewe watakuwa wanafananaje inabid siku moja wana JF tuwe tunakutana hata X moja kwa mwaka. Maana majina mengine yanaweza kuwa yanareflect jins walivyo...te tehe tehe tehe....ila la maria nimelipenda....
siku za karibuni kumekuwa na majina ya ajabu sana hapa JF na yanayofurahisha au kuchekesha...kama Nipigie;chapa nalo..via mobile .tzjamani, kaalamoto, 3D .mchekechoni, drphone,mtembeapeku lol! na mengine kibao ya kufurahisha
hawa watakuwa wanasoma medicine au ni madaktari au ma nesi au wanaumwa umwa maleria .. Ila i hope wote ni madaktari. SI UNAMUONA KAMANDA WANGU MZIZI MKAVU?yule jamaa GOD bless him kanisaidia sana..it means haya majina yana maana zake. Kama mtu anaitwa 3D hahah!! Atakuwa ndio katoka kinotheatre
Sijui watu wenyewe watakuwa wanafananaje inabid siku moja wana JF tuwe tunakutana hata X moja kwa mwaka. Maana majina mengine yanaweza kuwa yanareflect jins walivyo...te tehe tehe tehe....ila la maria nimelipenda....