Hii nimeipata jana ndani ya daladala kwa foleni wakati nilipoomba kununua picha ya Magufuri,aliyekuwa anauza alicheka sana na kusema kuwa za makomeo haziendi sana kama za mamvi!!.
Ndipo nikaanzisha mjadala kuwa magamba watashinda kwa goli la mkono maana nimesikia jinsi vikosi vyetu vya jeshi vinavyohakikisha askari ambao hawajajiandikisha na kuwaambia pigia anayetoka kule upatapo mshahara na nikatonya kuwa imesikika kuwa hata uhakiki majina ya umri huo ambao wengi ni kipenzi cha mamvi hayaonekani kwenye usaili.
Je, great thinker kuna ukweli ndani yake!!
Kiongozi mmoja ukawa alisikika akisema kuwa waliojiandikisha 5000 majina 2000 hayaonekani katika kituo kimoja!
Je, haya yote ni kweli?
UKAWA MUWE MACHO HILO NI GOLI LA KWANZA LA MKONO!!!!!
Ndipo nikaanzisha mjadala kuwa magamba watashinda kwa goli la mkono maana nimesikia jinsi vikosi vyetu vya jeshi vinavyohakikisha askari ambao hawajajiandikisha na kuwaambia pigia anayetoka kule upatapo mshahara na nikatonya kuwa imesikika kuwa hata uhakiki majina ya umri huo ambao wengi ni kipenzi cha mamvi hayaonekani kwenye usaili.
Je, great thinker kuna ukweli ndani yake!!
Kiongozi mmoja ukawa alisikika akisema kuwa waliojiandikisha 5000 majina 2000 hayaonekani katika kituo kimoja!
Je, haya yote ni kweli?
UKAWA MUWE MACHO HILO NI GOLI LA KWANZA LA MKONO!!!!!