Majina mengine ya Mungu


jehova ni mungu akiabudiwa na waisrael na el ni mungu akiabudiwa na jamii mbalimbali za caanan.
maandiko ya bible ni mixer ya maandiko ya walioabudu YAHWEH na walioabudu El, ndo maana jina la el limetokea katika baadhi ya aya za bible
 

tumuongezee moja yawe mia
 
jehova ni mungu akiabudiwa na waisrael na el ni mungu akiabudiwa na jamii mbalimbali za caanan.
maandiko ya bible ni mixer ya maandiko ya walioabudu YAHWEH na walioabudu El, ndo maana jina la el limetokea katika baadhi ya aya za bible

More confusing, kwa hiyo kuna miungu wawili?
 
More confusing, kwa hiyo kuna miungu wawili?

baada ya uflume wa yudah kuvamiwa na babel ulitawanyikam,baadhi wakachukuliwa babel wengine wakakimbilia katika ufalme wa israel.kufika huko walikuta wanaabudu tofauti na wao na maandiko yao yakiwa tofauti kidogo.ndo ili kudumisha umoja wasifarakane,wakaunganisha maandiko
 
Umesahau Emmanu-El, Bwana Mungu ndani yetu.
 
Hakuna uthibitisho kwamba mungu yupo.

Majina tu, hata milioni mpe.
 
If Moses wrote the Bible then Moses was responsible for writing doublets of various stories, each of which was supposed to explain how some certain event took place. As an example of multiple traditions and strange editing, consider the traditions surrounding Jacob, his name change to Israel, and the multiple traditions of the naming of Bethel, a closely related story. We are told that God says that Jacob is to be called Jacob no longer.
"There he built an altar, and called the place Elbethel, because there God had revealed himself to him when he fled from his brother ... God appeared to Jacob again, when he came from Paddanaram, and blessed him. And God said to him, "Your name is Jacob; no longer shall your name be called Jacob, but Israel shall be your name." So his name was called Israel."(Genesis Chapter 35 verse 7)
Their is a doublet of this story. After wrestling with an angel Jacob is renamed Israel.
"Then he said, ¡®Your name shall no more be called Jacob, but Israel, for you have striven with God and with men, and have prevailed.'"(Genesis Chapter 32 verse 28)
Later God calls him Jacob.
"And God spoke to Israel in visions of the night, and said, "Jacob, Jacob." And he said, "Here am I."(Genesis Chapter 46 verse 2)
There is also a doublet relating a different tradition of the naming of Bethel. Jacob has a vision and sees the famous Jacob's ladder stretching to heaven.
"Then Jacob awoke from his sleep and said, "Surely YAHWEH is in this place; and I did not know it." And he was afraid, and said, "How awesome is this place! This is none other than the house of God, and this is the gate of heaven." So Jacob rose early in the morning, and he took the stone which he had put under his head and set it up for a pillar and poured oil on the top of it. He called the name of that place Bethel; but the name of the city was Luz at the first."(Genesis Chapter 28 verse 16)
However Abraham visits Bethel before it was ever called Bethel, long before Jacob or Jacob's father was born..
"Thence Abraham removed to the mountain on the east of Bethel, and pitched his tent, with Bethel on the west and Ai on the east; and there he built an altar to YAHWEH and called on the name of YAHWEH. And he journeyed on from the Negeb as far as Bethel, to the place where his tent had been at the beginning, between Bethel and Ai."(Genesis Chapter 12 verse 8, Genesis Chapter 13 verse 3)
 

Samahani mkuu, hili sio tatizo langu bali tatizo la muandishi wa habari hii. Mimi nimeicopy na kupaste kutoka blog fulani.

Labda kosa nililolifanya ni kutoandika source ya habari hii....
 
Leo hujapata wa kubishana nae ??

Si wewe tayari ushajiingiza kwenye reli.

It's more like aliyeanzisha thread ndo kaanzisha mabishano, mimi nimejibu tu. Kwa hiyo wa kubishana naye alikuwapo kabla sijajibu.

Mtu yeyote anayeleta neno "mungu" hapa JF tayari kashanialika kubishana naye, nashangaa unasema sijapata wa kubishana naye.
 

basi fresh
 

Hayo sio majina ya Mungu. Nakuja na maelezo kamili.
 
Umesahau Emmanu-El, Bwana Mungu ndani yetu.
El alikua ni Mungu akiabudiwa na jamii ya maeneo ya caanan tangu mwanzo,ndo maana utaona kuwa abraham alipofika caanan alikwenda eneo liloitwa BETHEL akaweka mahema kama sehemu ya kuabudia.
japo pia waandishi wa bible wamejichanganya kuwa jacob aliota akaona ngazi inaenda mpaka mbinguni na alipoamka akajenga sehemu ya kuabudia hapo na akapaita BETHEL.
Sasa ndo ushangae abraham kutembelea BETHEL kabla hajamzaa hata isaac babake jacob ambae tena ndo alipaita hapo BETHEL.
Jina la EL ni huyohuyo elloh ama elohim na hata kuna watu huitwa emanuEL ama mungu pamoja nae,ama AbdEL mtumishi wa mungu jina liendelo sawa na AbdALLAH(mtumishi wa mungu)
 
Duuh!
Al- Quida
Al- Shabaab
Boko Haram
............
 
Jews, Christians, and Muslims usually lead adherents to believe that El simply translates to God, and is just one of the titles of the God they worship. They are right - to a point. El is simply a title, and it is one of the titles of the father god. But it is not only Jews, Christians, and Muslims who have worshiped Him. In fact, before Judaism ever existed (let alone Christianity or Islam), El was worshiped as the chief of the Canaanite pantheon. El has many intriguing titles such as Father of Humanity, the Creator of Creatures, and the King, the Father of Time. He is, without doubt, the god of the desert religions, since Abraham specifically called his god by this title: El Elyon. From the Bible, El also receives these titles: Eternal Father, El the Eternal One, and Ancient of Days.
But who is He? He is an ancient sky God, depicted as an old bearded man sitting upon His throne on the mountain between the two rivers which are the source of the world's oceans. As children, many of us pictured God as a bearded old man. You may never have heard the Ugaritic myths of El, but through genetic memory the truth of his elderliness rang out to you. However, this certainly does not mean that El is a powerless God. He is the undisputed leader of the pantheon, more powerful even than the great Ba'al (his son who died and was resurrected by El's daughter Anat). El is seen as unapproachable on His mountain, and the ancient Canaanite religion believed that a mediatrix, a go-between, was needed to send prayers to El.
This is true of the God of the desert religions as well. In Catholicism there is a tradition that Mary is the Mediatrix, who takes prayers before Yeshua and El. This continues an ancient tradition, in which Asherah (Lady of the Sea, who shares many similarities with Mary) takes petitions to El. Within all of Christianity, Yeshua himself is seen as the Mediatrix. Within Judaism, prayers are taken to El via the angels. But, according to the most ancient myths, He cannot hear them directly. This goes back to the ancient Canaanite myths, whether we knew it or not.
And let us not forget that our God, the God of the desert religions, is like this El in yet another significant way - He is constantly being spoken to on mountains and high places. Where did Moses commune with God? Mount Sinai. Where was the Temple built? Mount Moriah. Where did Yeshua give the beatitudes and pray frequently to His Father? Mount Olivet. What was seen as one of the most sacred places in Jerusalem? Mount Tsion. El, our God and their God, is a God of High Places! Perhaps that is why Melchizedek and Abraham gave him the title El Elyon,
 
Someni "kutoka 3;13_15" musa aliuliza nitawambia wana israel namimi niwamambie mungu wa mababu zenu amenituma kwenu nao wataniambia jina lake nani? nitawaambia nn? mungu akamwambia waambie YEHOVA Mungu wa mababu zenu. jina la mungu ni YEHOVA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…