Majina mapya ya mitaa Dar

Majina mapya ya mitaa Dar

Emmadogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
4,126
Reaction score
3,779
Hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vyenye majina ya mitaa hapa Dar, majina yasiyoendana kabisa na mahali kwenyewe.Eti utakuta Mtaa wa Ludewa katikati ya Mwenge hapa Dar.

Hivi ni nani akikaa chini akànza kufunga haya majina. Why hawakukaa na wadau wa hiyo mitaa ili wapate majina muafaka kabisa.

Eti mtaa wa kipepeo, Mara mtaa wa Nyati utadhani kuna Mbuga. Kwanza wanyama wenyewe washawamaliza.

Mtaa wangu unaitwa Iringa hata sijui kwanini? Je mtaani kwenu kuna jina gani? Maana nimeona Makumbusho kuna majina ya nchi tu mtaa wa Ghana Mara Siera Leone basi tu ilimradi.
 
Vitu vya ajabu .... Wanajiamualia tu ....hadi kero ... Huku sinza ndo balaa
 
Ha ha ha sijui walikuwa wamekunya viroba
 
Ntashindwa kuelewa sijui tutazoea vipi haya majina maana yako kushoto. Mtu anaweza kukutajia mtaa wako na usijue kabisa
 
Hahah... Halafu kitu kimepigwa fasta fasta .....walikuwa wamejiandaa sn mkuu
 
Yeah fasta sijui ulikuwa mradi wa nani
 
Pale Lumumba kwenye jengo la kijani kuna mtaa mpya unaitwa Mtaa wa Bao la Mkono.
 
Eti Kibaki na ile nyingine Obama sijuwi nini na nini... kha! Hivi Charles Keenja wa Jiji aliyebuni ujengwaji wa shule zaidi ktk kila shule hapa Dar na Mwaibula yule wa Sumatra aliyebuni mpango wa masafa maalum ya daladala zote na uwepo wa rangi (mkorogo) mahsusi kwa kila masafa mtawakumbuka lini?
 
hakika wakuu vituko ndani ya hii nchi kamwe havi ishi.

kabla ya hivi vibao vya mitaa usisahau suala la namba za nyumba ambazo wamebandika vibao hakika kama itakuwa ni kwa mara ya kwanza huta gundua ila kama utakuwa ni mkazi wa eneo husika utagundua kitu namba hizo zime kuwa zinajirudia sana kutoka mtaa m1 na mtaa mwingine.
kwa kuwa mm nimkazi wa mwenge nitalizungumzia hili la mwenge pekee.

namba zile za zamani zilikuwa ni nzuri nyumba namba 70 huwezi ipata popote pale lakini leo hii nyumba namba 37 mtaa m1 unakwenda kuipata namba hiyo hiyo mtaa mwingine hapo ndio panapo nichanganya.


ukija kwenye suala la mitaa hivi vibao nivichekesho sana mfano ukiwa unatoka mwenge stend njia ya zamani kama unakuja tra mtaa wa kwanza sijajua jina lake bado mtaa wa pili unaitwa kimbiji st mtaa wa kwanza unaitwa ludewa mtaa wa pili unaitwa kipepeo.

sasa cha ajabu ambacho kinanichanganya ni kuwa hayo majina kwa hapa mwenge yamejirudia pia njia ukifika njia ya kwenda kanisa katoliki mwenge kama unaingia getin utakutana na vibao viwili kimoja kinajina la ludewa na kingine jina la kipepeo sasa hapo mm ndio ninapo shangaa why majina yajirudie??

huku mtaa wa msikitini kuna majina haya na kule kanisani pia kuna majina hayo.


harafu majina hayo mbona hayaendani kabisa na maeneo husika??.

kama viongozi majina yao yanatumika kwenye baadhi ya barabara hapa nchini why usiwe kwa mitaa yetu wazee wetu majina yao yakatumika??

mfano MNUBI STREET.MGARIKA STREET.TAMAL ROD.NDENYA ST.
SANGA ROD.
MANGO MANGO ROD HOME GYM STREET or HOME GYM ROD KUBWA LAO ST.KINYONGA ROD.MAGAREJI ST.TRA ROD

natoa mfano huu kwa kuwa ndio majina yatumikayo mpaka leo hii ukiwa unamuelekeza mtu lazima utataja hayo majina then wengi wanakuelewa kwa na why waliotunga hayo majina hawakuwashirikisha hata wenyeji kidogo??.
 
Eti Kibaki na ile nyingine Obama sijuwi nini na nini... kha! Hivi Charles Keenja wa Jiji aliyebuni ujengwaji wa shule zaidi ktk kila shule hapa Dar na Mwaibula yule wa Sumatra aliyebuni mpango wa masafa maalum ya daladala zote na uwepo wa rangi (mkorogo) mahsusi kwa kila masafa mtawakumbuka lini?
Tutawakumbuka Nape, Huyu wa Kinondoni anaependa kumtukana EL anaitwa nani sijui, na yule naibu wa fedha Mwigulu.

Kingunge, Mwaibula, Sumaye, Msuya, Keenja wameshasahauliwa.
 
Hayo majina mapya wawekee nyie huku huko huku kwetu Uswahili majina yetu yatabaki vile vile,mfano kwa Mtoro,Maguruwe,Matandu,Pendamoyo,kaburi Moja nk.
 
We fika na makumbusho utaona mtaa wa siera leon, utaona mtaa wa ghana yaani hata havifanani aisee!!! nilicheka nilipoona mtaa wa NYATI pale sabato kanisani. Sasa hivi utamuelekeza vipi mtu na wakati hakuna hata mwenye habari na haya majina ya kijinga
 
Sasa huku Sinza ndo hatari kuna kitaa kinaitwa Mtaa wa Chatu afu kuna kichaka flani hiviii
Then kuna Mtaa wa Mbayuwayu afu kumekaa watu waasisi wa nchi bdaa wajadiliane majina ya kizalendo zaidi.
Washamaliza wanyama wote mbugani wanataka tuwakumbuke kwa kuitia majina ya mitaa,Mtaa wa Nyati,Mtaa wa Faru,Mtaa wa Swala Sinza ndo funga kazi wanyama wote wako huku..
 
hakika wakuu vituko ndani ya hii nchi kamwe havi ishi.

kabla ya hivi vibao vya mitaa usisahau suala la namba za nyumba ambazo wamebandika vibao hakika kama itakuwa ni kwa mara ya kwanza huta gundua ila kama utakuwa ni mkazi wa eneo husika utagundua kitu namba hizo zime kuwa zinajirudia sana kutoka mtaa m1 na mtaa mwingine.
kwa kuwa mm nimkazi wa mwenge nitalizungumzia hili la mwenge pekee.

namba zile za zamani zilikuwa ni nzuri nyumba namba 70 huwezi ipata popote pale lakini leo hii nyumba namba 37 mtaa m1 unakwenda kuipata namba hiyo hiyo mtaa mwingine hapo ndio panapo nichanganya.


ukija kwenye suala la mitaa hivi vibao nivichekesho sana mfano ukiwa unatoka mwenge stend njia ya zamani kama unakuja tra mtaa wa kwanza sijajua jina lake bado mtaa wa pili unaitwa kimbiji st mtaa wa kwanza unaitwa ludewa mtaa wa pili unaitwa kipepeo.

sasa cha ajabu ambacho kinanichanganya ni kuwa hayo majina kwa hapa mwenge yamejirudia pia njia ukifika njia ya kwenda kanisa katoliki mwenge kama unaingia getin utakutana na vibao viwili kimoja kinajina la ludewa na kingine jina la kipepeo sasa hapo mm ndio ninapo shangaa why majina yajirudie??

huku mtaa wa msikitini kuna majina haya na kule kanisani pia kuna majina hayo.


harafu majina hayo mbona hayaendani kabisa na maeneo husika??.

kama viongozi majina yao yanatumika kwenye baadhi ya barabara hapa nchini why usiwe kwa mitaa yetu wazee wetu majina yao yakatumika??

mfano MNUBI STREET.MGARIKA STREET.TAMAL ROD.NDENYA ST.
SANGA ROD.
MANGO MANGO ROD HOME GYM STREET or HOME GYM ROD KUBWA LAO ST.KINYONGA ROD.MAGAREJI ST.TRA ROD

natoa mfano huu kwa kuwa ndio majina yatumikayo mpaka leo hii ukiwa unamuelekeza mtu lazima utataja hayo majina then wengi wanakuelewa kwa na why waliotunga hayo majina hawakuwashirikisha hata wenyeji kidogo??.

Hizo namba unazoziona nadhani ni za watu wa Posta, na hazina uhusiano na zile namba za awali ambazo zinakuwa ni namba za eneo hivyo huwezi kukuta zinajirudia

nadhani watu wa posta wanataka kuanzisha utaratibu wa kuleta vifurushi, barua au mizigo mpaka kwenye majumba, hivyo hizo namba zitakuwa ni sehemu ya address yako na itakuwa inabeba jina la mtaa na hiyo namba, so namba saba inaweza kuwa kwenye mitaa yote na tofauti ni jina la mtaa tu,
 
Hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vyenye majina ya mitaa hapa dar, majina yasiyoendana kabisa na mahali kwenyewe.
Eti utakuta Mtaa wa Ludewa katikati ya mwenge hapa dar.
Hivi ni nani akikaa chini akànza kufunga haya majina. Why hawakukaa na wadau wa hiyo mitaa ili wapate majina muafaka kabisa.
Eti mtaa wa kipepeo, Mara mtaa wa Nyati utadhani kuna Mbuga. Kwanza wanyama wenyewe washawamaliza.
Mtaa wangu unaitwa iringa hata sijui kwanini.......Je mtaani kwenu kuna jina gani. Maana nimeona makumbusho kuna majina ya nchi tu . mtaa wa Ghana Mara siera Leon basi tu ilimradi

Kwenye Blue, waliotakiwa kukaa kupanga hawakufanya hivyo basi baadhi ya watu wakawaona isiwe shida ndo wakaanza kutunga majina hayo uyaonayo wakidhani kuwa wahusika watakuja na kuweka majina sahihi. Wahusika wapo bussy kulipana posho na kuandaa matamasha yasiyokuwa na tija. by the way nilikaa Sinza miaka ya nyuma na kulikuwa na mtaa wa "Living Single", "Family Matters", Los Angels, n.k

Kwenye RED, Tupo si kweli kuwa tumeisha ila kwa kasi hii ya uwindaji haramu sijui kama wajukuu zenu watatuona, nadhani wataambulia picha tu!
 
Mimi mtaa ninaoishi hauna jina ingawa serikali ilipima viwanja na kuweka mitaa miaka 10 iliyopita. Subiri nami nikabatize mtaa leo
 
Kisutu wahindi wamebandika kibao kina jina la kihinfi wakati tunajua na mtaa wa kisutu. ni suala la muda tu hata Azikiwe street utakuta inaitwa Prashant Purshutu street.
 
hakika wakuu vituko ndani ya hii nchi kamwe havi ishi.

kabla ya hivi vibao vya mitaa usisahau suala la namba za nyumba ambazo wamebandika vibao hakika kama itakuwa ni kwa mara ya kwanza huta gundua ila kama utakuwa ni mkazi wa eneo husika utagundua kitu namba hizo zime kuwa zinajirudia sana kutoka mtaa m1 na mtaa mwingine.
kwa kuwa mm nimkazi wa mwenge nitalizungumzia hili la mwenge pekee.

namba zile za zamani zilikuwa ni nzuri nyumba namba 70 huwezi ipata popote pale lakini leo hii nyumba namba 37 mtaa m1 unakwenda kuipata namba hiyo hiyo mtaa mwingine hapo ndio panapo nichanganya.


ukija kwenye suala la mitaa hivi vibao nivichekesho sana mfano ukiwa unatoka mwenge stend njia ya zamani kama unakuja tra mtaa wa kwanza sijajua jina lake bado mtaa wa pili unaitwa kimbiji st mtaa wa kwanza unaitwa ludewa mtaa wa pili unaitwa kipepeo.

sasa cha ajabu ambacho kinanichanganya ni kuwa hayo majina kwa hapa mwenge yamejirudia pia njia ukifika njia ya kwenda kanisa katoliki mwenge kama unaingia getin utakutana na vibao viwili kimoja kinajina la ludewa na kingine jina la kipepeo sasa hapo mm ndio ninapo shangaa why majina yajirudie??

huku mtaa wa msikitini kuna majina haya na kule kanisani pia kuna majina hayo.


harafu majina hayo mbona hayaendani kabisa na maeneo husika??.

kama viongozi majina yao yanatumika kwenye baadhi ya barabara hapa nchini why usiwe kwa mitaa yetu wazee wetu majina yao yakatumika??

mfano MNUBI STREET.MGARIKA STREET.TAMAL ROD.NDENYA ST.
SANGA ROD.
MANGO MANGO ROD HOME GYM STREET or HOME GYM ROD KUBWA LAO ST.KINYONGA ROD.MAGAREJI ST.TRA ROD

natoa mfano huu kwa kuwa ndio majina yatumikayo mpaka leo hii ukiwa unamuelekeza mtu lazima utataja hayo majina then wengi wanakuelewa kwa na why waliotunga hayo majina hawakuwashirikisha hata wenyeji kidogo??.
LEGE
Umetisha sana kiongozi umenikumbusha mtaani kwangu na wazee wa Mwenge Kijijini.....eti Mnubi street Mzee Mnubi bado yupo?Mango Mango pale,Home Gym kwa Andrew
 
Last edited by a moderator:
Wamezidi hii siri kali ni sheeedaaa. Vibao vyenyewe kuvisoma kama unaendesha gari ni mgogoro. Na namba kweli zinachanganya Sana Sana Sana.
 
Back
Top Bottom